KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s72-c/unnamed.png)
Msimu wa Pili wa Kwetu House Unaendelea washiriki wanaendelea kuchuana vikali ndani ya Nyumba, Vipajivinaonekana na Ushabiki wa Soka wanaonekana pia. Kama unakumbuka Washiriki waliobahatika kuingia kwenye Nyumba walikuwa 30 baada ya Bootcamp kumalizika na Baada ya hapo Washiriki wameendelea kuyaaga mashindano haya kwa msimu huu wa pili na Wiki hii washiriki 18 ndio wamebaki kwenye Nyumba lakini 6 kati ya hao 18 watayaaga mashindano usiku huu. Kocha ananafasi ya kumuokoa Mshiriki Moja kurudi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfBsJ6mu-1xuzkLTZ3UBwg6BrAeAtgx-M*f*f7Ug1SCNeY0tFZDcaVhZl3U9dpmmB5a0spQwLlXwi*QDNSlwASV7/1.jpg)
AZAM TV YAZINDUA MSIMU WA PILI WA ‘KWETU HOUSE’
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/v2dSp53FQqk/default.jpg)
Mgope Kiwanga Meneja wa Mauzo na Masoko Azam Media Akiongelea Kwetu House
![](http://i2.wp.com/teamtz.com/wp-content/uploads/2015/05/Kwetu-House-21.jpg?resize=620%2C465)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JIJndXpBD6qcj-qn9*sHPOO4xbPtautzIhAMPkKGmejiuOCSuveSf*ovHAjgTugB7VZZj2uvDG1fnXqQL0TY1l*/1.jpg?width=650)
WASHIRIKI 20 WAFANYIWA MCHUJO SHINDANO LA 'KWETU HOUSE'
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H7BLiDgzeIU/Vk2gMJBta2I/AAAAAAAIGyA/oJc08uwWr3I/s72-c/AsosAlM6YBi7ImU5KCmi2opk6XAa6c9OR_wo8iyO-7vk.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iftuslMTla8/U3t9V6NdJII/AAAAAAAChnU/mw4hEN81Xjw/s72-c/Image+20-05-2014+at+14.33+(27).png)
AZAMTV YAJA NA KWETU HOUSE (search for the Ultimate Fun)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iftuslMTla8/U3t9V6NdJII/AAAAAAAChnU/mw4hEN81Xjw/s1600/Image+20-05-2014+at+14.33+(27).png)
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la...
11 years ago
Dewji Blog21 May
AzamTV yaja na Kwetu House (search for the Ultimate Fun) kwa mashabiki wa Soka nchini
AzamTV wamezindua mashindano yatakayowahusisha wapenzi wa kandanda yatakayojulikana kama KWETU HOUSE. Mashindano haya ambayo ni mara ya kwanza Tanzania yatashirikisha wapenzi na mashabiki wa mpira wa miguu ambapo watu kumi wa 10 wa timu mbalimbali watachaguliwa na kuishi katika nyumba moja kwa muda wa siku 3 wakionyesha ni jinsi gani wao ni mashabiki namba mmoja kwa timu zao .
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la kufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tU8d-FXwnzk/VapCsiEZbOI/AAAAAAAHqUI/SiNVk0oWHWw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s72-c/20150711071224.jpg)
NEWS UPDATES: NEC YA CCM Inapiga kura sasa kupata tatu bora. Saa tatu usiku mkutano unakaa kuamua jina moja
![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s640/20150711071224.jpg)