Mgope Kiwanga Meneja wa Mauzo na Masoko Azam Media Akiongelea Kwetu House
![](http://img.youtube.com/vi/v2dSp53FQqk/default.jpg)
Mgope Kiwanga Meneja wa Mauzo na Masoko Azam Media Akitoa Wito Kwa Watu Wengi Kujitokeza Na Faida Watakazopata Baada Ya Kushiriki Shindano La Kwetu House 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s72-c/unnamed.png)
KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s640/unnamed.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfBsJ6mu-1xuzkLTZ3UBwg6BrAeAtgx-M*f*f7Ug1SCNeY0tFZDcaVhZl3U9dpmmB5a0spQwLlXwi*QDNSlwASV7/1.jpg)
AZAM TV YAZINDUA MSIMU WA PILI WA ‘KWETU HOUSE’
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iftuslMTla8/U3t9V6NdJII/AAAAAAAChnU/mw4hEN81Xjw/s72-c/Image+20-05-2014+at+14.33+(27).png)
AZAMTV YAJA NA KWETU HOUSE (search for the Ultimate Fun)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iftuslMTla8/U3t9V6NdJII/AAAAAAAChnU/mw4hEN81Xjw/s1600/Image+20-05-2014+at+14.33+(27).png)
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la...
11 years ago
Dewji Blog21 May
AzamTV yaja na Kwetu House (search for the Ultimate Fun) kwa mashabiki wa Soka nchini
AzamTV wamezindua mashindano yatakayowahusisha wapenzi wa kandanda yatakayojulikana kama KWETU HOUSE. Mashindano haya ambayo ni mara ya kwanza Tanzania yatashirikisha wapenzi na mashabiki wa mpira wa miguu ambapo watu kumi wa 10 wa timu mbalimbali watachaguliwa na kuishi katika nyumba moja kwa muda wa siku 3 wakionyesha ni jinsi gani wao ni mashabiki namba mmoja kwa timu zao .
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la kufanya...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Azam: kila mechi Kwetu ni fainali
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Azam FC umesema kwamba kuelekea kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kila mechi watakayocheza itakuwa kama fainali.
Klabu hiyo ipo nafasi ya pili kwenye ligi hiyo ikiwa na tofauti ya pointi moja nyuma ya klabu ya Yanga, ambayo ina pointi 30 baada ya kucheza michezo 12.
Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa klabu hiyo, Jafari Iddi, alisema kwamba wapo katika maandalizi ya mechi yao dhidi ya Kagera Sugar Jumapili hii.
“Kwa sasa timu inajiandaa kuingia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tU8d-FXwnzk/VapCsiEZbOI/AAAAAAAHqUI/SiNVk0oWHWw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JIJndXpBD6qcj-qn9*sHPOO4xbPtautzIhAMPkKGmejiuOCSuveSf*ovHAjgTugB7VZZj2uvDG1fnXqQL0TY1l*/1.jpg?width=650)
WASHIRIKI 20 WAFANYIWA MCHUJO SHINDANO LA 'KWETU HOUSE'
10 years ago
IPPmedia29 May
Govt defends Media Bill in House
IPPmedia
IPPmedia
The government has defended the Media Services Bill, saying it is a good foundation towards recognition of journalism as a profession, duties and rights of the press. However, the opposition contends that the bill is ridiculous, and would take the country back ...