KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15
![](http://2.bp.blogspot.com/-tU8d-FXwnzk/VapCsiEZbOI/AAAAAAAHqUI/SiNVk0oWHWw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Msimu wa pili wa Kwetu House - “kwetu house, kipaji zaidi ya soka” hili shindano ambalo hujumuisha zaidi wapenzi wa soka wenye Kipaji, jumla ya mikoa mitano (Arusha, Zanzibar, Dodoma, Mbeya na Mwanza) kutoa washiriki zaidi kwa ajili ya kunogesha na kuleta upinzani wa kutosha msimu huu mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 15, tofauti na msimu uliopita ambao ilikuwa Sh milioni 10.
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog21 May
AzamTV yaja na Kwetu House (search for the Ultimate Fun) kwa mashabiki wa Soka nchini
AzamTV wamezindua mashindano yatakayowahusisha wapenzi wa kandanda yatakayojulikana kama KWETU HOUSE. Mashindano haya ambayo ni mara ya kwanza Tanzania yatashirikisha wapenzi na mashabiki wa mpira wa miguu ambapo watu kumi wa 10 wa timu mbalimbali watachaguliwa na kuishi katika nyumba moja kwa muda wa siku 3 wakionyesha ni jinsi gani wao ni mashabiki namba mmoja kwa timu zao .
Akizindua mashindano hayo, Mkurugenzi mtendaji wa AzamTV, bwana Rhys Torrington alisema: Lengo kuu la kufanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfBsJ6mu-1xuzkLTZ3UBwg6BrAeAtgx-M*f*f7Ug1SCNeY0tFZDcaVhZl3U9dpmmB5a0spQwLlXwi*QDNSlwASV7/1.jpg)
AZAM TV YAZINDUA MSIMU WA PILI WA ‘KWETU HOUSE’
11 years ago
MichuziHATIMAYE WASHINDI WATATU WA MASHINDANO YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI (TANZANIA MOVIE TALENTS) KWA KANDA YA ZIWA WAPATIKANA LEO JIJINI MWANZA
11 years ago
MichuziTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfP303Ycm64/Xm98UE6qCAI/AAAAAAALj5w/7iSdxRvesdk0Hn57pAHZTmgKWEu2emonQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.03.37%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI NDALICHAKO KUZINDUA MASHINDAKO YA MAKISATU DODOMA, MSHINDI KULAMBA MILIONI TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfP303Ycm64/Xm98UE6qCAI/AAAAAAALj5w/7iSdxRvesdk0Hn57pAHZTmgKWEu2emonQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.03.37%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-H8I13ylIPU0/Xm98Tsbc1XI/AAAAAAALj5o/SQ2osmxhSFkSwx_a4ZFJvYNJVFHMzPHFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.04.59%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Skylight Band yaendelea kulamba dume kwa mashabiki wake jijini Dar ndani ya kiota cha Thai Village
Majembe ya Skylight Band yakiporomosha burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo na Sam Mapenzi.
Pichani juu na chini ni mashabiki nao wakijibu mapigo ya sebene lililokuwa likiporomoshwa na majembe ya Skylight Band.
Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hvpooncoFEw/VAwlT3AoD_I/AAAAAAAGg0w/YFlT2abb4oQ/s72-c/unnamedA.jpg)
TIMU YA MAJAJI KWA AJILI YA KUMTAFUTA MSHINDI WA TUZO YA RAIS YA HUDUMA ZA JAMII NA UWEZESHAJI YATUA NANGA KATIKA MIKOA YA SIMIYU NA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-hvpooncoFEw/VAwlT3AoD_I/AAAAAAAGg0w/YFlT2abb4oQ/s1600/unnamedA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ye0A2TWjsxY/VAwlVUhhLJI/AAAAAAAGg1E/7g7SzA1i5-0/s1600/unnamedB.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Bilionea wa Nigeria amtuliza mshindi wa pili Big Brother kwa Sh607 milioni