Bilionea wa Nigeria amtuliza mshindi wa pili Big Brother kwa Sh607 milioni
Bilionea Ayiri Emami, ametoa kitita cha Dola za Marekani 350,000Â (Sh607 milioni), kwa mshindi wa pili wa mashindano ya Big Brother Hotshots 2014, Tayo Faniran.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Dec
Idris Sultan aibuka mshindi wa shilingi milioni 514 za Big Brother
Idris Sultan ndio mshindi wa Big Brother Africa Hotshots. Baada ya kutupa karata yake kwa takriban miezi miwili ndani ya jumba hilo lililopo nchini Afrika Kusini, Afrika imemchagua kuwa mshindi wa msimu huo wa Big Brother na hivyo kushinda kitita cha $300,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 514 za Tanzania. Idris ambaye ni mpiga […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcUkgYOlygddzSOvHLo5YKjbzAxq97cF0nVPaJQhVVPmpuw2b8NswC9dOLYLRBCVqmxy0uBlxIkWr3y4OuHyzZdn/TayoNigeria1200x9301413279941.jpg?width=650)
BILIONEA NIGERIA AMZAWADIA TAYO $ 350,000 BAADA YA KUKOSA ZA BIG BROTHER HOTSHOTS
Tayo. INADAIWA kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Hotshots, Tayo kuzikosa $ 300,000 za shindano hilo ambazo zilichukuliwa na mshiriki kutoka Tanzania Idris Sultan, mfanyabiashara bilionea na Nigeria ameamua kumzawadia Tayo $ 350,000 zaidi ya shilingi milioni 600. Bilionea Ayiri Emami. Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua kuongeza dola 50,000 juu zaidi ya ile… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TSLcMhVquo0/VIi1wfuku5I/AAAAAAAG2Zo/Ybp3JuPJNu4/s72-c/IMG-20141211-WA0001.jpg)
Mshindi wa Big Brother Africa 2014,idris sultan awasili nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-TSLcMhVquo0/VIi1wfuku5I/AAAAAAAG2Zo/Ybp3JuPJNu4/s1600/IMG-20141211-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5JSS8IO96Yk/VIi1xkThE4I/AAAAAAAG2Zw/KuK2T9K4Kv8/s1600/IMG-20141211-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-526sERL5yzc/VIi10MUObbI/AAAAAAAG2Z4/3OVQ2s-Vk_o/s1600/IMG-20141211-WA0002.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Jan
10 years ago
Bongo511 Sep
Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?
Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3RtMg6SCMM/VIlVbTYYLaI/AAAAAAAG2c4/0FpG1_A8Bz8/s72-c/MMGM0617%2C.jpg)
Mshindi wa Big Brother 2014,Idris Sultan azungumza na wanahabari jijini dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3RtMg6SCMM/VIlVbTYYLaI/AAAAAAAG2c4/0FpG1_A8Bz8/s1600/MMGM0617%2C.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G5UU0X6EnYU/VIlVdNZtJWI/AAAAAAAG2dA/Bot9QZWMI3o/s1600/MMGM0611%2C.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GRcdb-x-Fsg/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania