WAZIRI NDALICHAKO KUZINDUA MASHINDAKO YA MAKISATU DODOMA, MSHINDI KULAMBA MILIONI TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfP303Ycm64/Xm98UE6qCAI/AAAAAAALj5w/7iSdxRvesdk0Hn57pAHZTmgKWEu2emonQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.03.37%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Maulilio Kipanyula akizungumza na washiriki na wadau wa ubunifu na teknolojia leo jijini Dodoma kuelekea wiki ya mashindano ya Teknolojia na Ubunifu yatakayozinduliwa kesho na Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako.
Wadau na washiriki mbalimbali wa mashindano ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu wakimsikiliza Mkurugenzi wa Teknolojia na Ubunifu wa Wizara ya Elimu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jfhY-uMyUa4/Xuw2fWWelTI/AAAAAAALug8/HUQzAHpHp5EdN_OqNkSE8C8FWpjnK3h3QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.11.44%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tU8d-FXwnzk/VapCsiEZbOI/AAAAAAAHqUI/SiNVk0oWHWw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S7anPHgux_0/Xuryu2ePCdI/AAAAAAALuTw/OAzDTaXJV80TWmW2cof_SDOcHONBy3-_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.05.34%2BAM.jpeg)
MILIONI 800 ZATUMIKA KUKARABATI CHUO CHA UALIMU BUSTANI, WAZIRI NDALICHAKO AHIMIZA UZALENDO
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewataka wanachuo nchini kuipenda Nchi yao na kuwa mabalozi wazuri katika kuitetea na kutangaza kazi kubwa inayofanywa na serikali katika kuwatumikia watanzania.
Prof Ndalichako ameyasema hayo leo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo Cha Ualimu Bustani kwa ajili ya kukagua maendeleo yake na kuzungumza na wanafunzi wake.
Akizungumza baada ya kukagua miradi ya maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--6prYHRXREw/XnxTBogcL2I/AAAAAAALlD8/KA-WMwzU7b4P3WNagOdlf9-EEWhVw5Q0wCLcBGAsYHQ/s72-c/f44510c6-858d-4218-a8c0-5a74541ce1c4.jpg)
WAZIRI NDALICHAKO AAHIDI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WABUNGE UJENZI WA SHULE MAALUM YA SEKONDARI WASICHANA JIJINI DODOMA.
Profesa Ndalichako ametoa ahadi hiyo alipotembelea shule hiyo akiongozana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ili kujionea maendeleo ya ujenzi huo ambapo amesema Wizara itatoa mchango...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FWIv-BK9K8Q/XmDyFmvKpnI/AAAAAAALhMs/LCBbUFnj-CcgUn291o5LL3Ksga6N45bdgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2916AA-768x538.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMPATIA MSAADA WA SHILINGI MILIONI TANO MIRIAM WA MOMBO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FWIv-BK9K8Q/XmDyFmvKpnI/AAAAAAALhMs/LCBbUFnj-CcgUn291o5LL3Ksga6N45bdgCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2916AA-768x538.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2909AA-1024x700.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2911AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2916AA-1024x718.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2875AAA-698x1024.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2887AA-1024x682.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Miriam Shemndolwa ambaye ni mlemavu wakati alipomtembelea nyumbani kwao Mombo wilayani Korogwe,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-azEL92owoJ4/Xrb-nv6PTqI/AAAAAAALpoM/wdZ3V1zEzOcZrvQFlj2Dhp_xu44btlJ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B8.09.20%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE WAKABIDHI VIFAA VYA CORONA VYA SH MILIONI TANO GEREZA LA ISANGA DODOMA
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, mmoja wa Waanzilishi wa mtandao huo, Beatrice Kimoleta amesema hatua hiyo wameifanya ikiwa ni kuunga mkono kwa vitendo juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
“ Mhe....
10 years ago
Mwananchi13 Aug
MGAWO : Klabu kulamba Sh80 milioni udhamini
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cpo-nhorHmE/Vk76Cn_nGsI/AAAAAAAIG_o/2YmVnVvvcaA/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU WA AWAMU YA TANO VIWANJA VYA IKULU NDOGO CHAMWINO MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cpo-nhorHmE/Vk76Cn_nGsI/AAAAAAAIG_o/2YmVnVvvcaA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nmlnR2lRd88/Vk76CxovprI/AAAAAAAIG_w/7ouiXrtlodU/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tG73nj0XwWU/Vk76DL_w-TI/AAAAAAAIG_s/T0sff1xpWec/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s72-c/unnamed.jpg)
AZAM FC KULAMBA MILIONI 75 KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s1600/unnamed.jpg)