MGAWO : Klabu kulamba Sh80 milioni udhamini
Kila klabu ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu itajipatia Sh80 milioni kwa msimu ikiwa ni ongezeko la Sh 13 milioni kutoka Sh67 milioni za msimu uliopita kutoka kwa wadhamini wa ligi hiyo, Kampuni ya Simu za Mkononi, Vodacom.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s72-c/unnamed.jpg)
AZAM FC KULAMBA MILIONI 75 KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfP303Ycm64/Xm98UE6qCAI/AAAAAAALj5w/7iSdxRvesdk0Hn57pAHZTmgKWEu2emonQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.03.37%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WAZIRI NDALICHAKO KUZINDUA MASHINDAKO YA MAKISATU DODOMA, MSHINDI KULAMBA MILIONI TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfP303Ycm64/Xm98UE6qCAI/AAAAAAALj5w/7iSdxRvesdk0Hn57pAHZTmgKWEu2emonQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.03.37%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-H8I13ylIPU0/Xm98Tsbc1XI/AAAAAAALj5o/SQ2osmxhSFkSwx_a4ZFJvYNJVFHMzPHFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.04.59%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tU8d-FXwnzk/VapCsiEZbOI/AAAAAAAHqUI/SiNVk0oWHWw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-MmFuu_FHOI4/VfpEIuNGtyI/AAAAAAABH1g/lvSnHN3HBlM/s72-c/TASWA.jpg)
TASWA YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 50 TUZO ZA WANAMICHEZO TOKA TAASISI YA GSM
![](http://2.bp.blogspot.com/-MmFuu_FHOI4/VfpEIuNGtyI/AAAAAAABH1g/lvSnHN3HBlM/s640/TASWA.jpg)
TAASISI ya GSM Foundation ya Dar es Salaam imetoa Sh milioni 50 kwa ajili ya kudhamini tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete. Utoaji wa tuzo hizo utafanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo wanamichezo pia watatumia tuzo hizo zilizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kumuaga Rais Kikwete anayemaliza muda wake kikatiba.
Kwa mujibu wa TASWA licha ya kumuaga Rais Kikwete...
10 years ago
TheCitizen10 Mar
How Sh80 billion went missing from Tanroads
10 years ago
AllAfrica.Com03 Feb
Sh80 Billion Lost in Uncollected Park Fees
AllAfrica.com
Dodoma — THE Tanzania National Parks Authority (TANAPA) and Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA), have lost about 80bn/- between 2011 and 2014 due to a case that was pending at the High Court in Arusha, rendering the state agencies ...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
10 years ago
TheCitizen11 Jun
Bright future as Dar, Tokyo sign Sh80 billion power deal
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Linex kulamba shavu Sweden
DEOGRATIUS MONGELA
MSANII wa Muziki wa RnB, Mtanzania mwenye maskani yake nchini Sweden, Khairat Carlo Omar, ’Dati’ amemshirikisha kwenye songi lake Mkali wa Bongo Fleva Sunday Mjeda ‘Linex’ na kumtumia tiketi ya ndege kwa ajili ya kufanya video nchini humo.
Dati anayetamba na wimbo wake wa Can Do uliotengenezwa na Prodyuza Fundi Samweli na video ikiwa imeshutiwa na wakali kama Hanscana na Khalfan, ameweka mipango ya kufanya wimbo mpya na Linex ambapo alisema kuwa wimbo huo ni ladha mpya...