Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linex kulamba shavu Sweden

DEOGRATIUS MONGELA

MSANII wa Muziki wa RnB, Mtanzania mwenye maskani yake nchini Sweden, Khairat Carlo Omar, ’Dati’ amemshirikisha kwenye songi lake Mkali wa Bongo Fleva Sunday Mjeda ‘Linex’ na kumtumia tiketi ya ndege kwa ajili ya kufanya video nchini humo.

Dati anayetamba na wimbo wake wa Can Do uliotengenezwa na Prodyuza Fundi Samweli na video ikiwa imeshutiwa na wakali kama Hanscana na Khalfan, ameweka mipango ya kufanya wimbo mpya na Linex ambapo alisema kuwa wimbo huo ni ladha mpya...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN, AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO SWEDEN NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE

 Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akisindikizwa kuingia kwenye kasri ya Mfalme wa Sweden ili kuwasilisha hati zake za utambulisho.  Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Mfalme wa Sweden  kasri ya Mfalme wa Sweden akipofika kuwasilisha hati zake za utambulisho.   Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akipeana mikono na Mfalme wa Sweden baada ya kuwasilisha hati za utambulishoBaada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta kulamba Sh1.6 bilioni Ulaya

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta yuko mbioni kujiunga na klabu ya Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), Lllle kwa Euro 700,000, sawa na (Sh1,611,675,675.99 za Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kulamba fedha za maabara asimamishwa

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Igunga, Rustika Turuka amemsimamisha kazi Mtendaji wa Kata ya Kining’inila wilaya ya Igunga mkoani Tabora John Maduhu kwa muda usiojulikana.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.

 

11 years ago

Nyasa Times

Chewa's Kulamba ceremony attracts three more countries


Chewa's Kulamba ceremony attracts three more countries
Nyasa Times
People of the Chewa tribe from South Africa, Tanzania and Zimbabwe will take part in this year's cultural ceremony Kulamba, local organisers have disclosed. The three countries join Malawi, Zambia and Mozambique–the serial participants at the annual ...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE ANADAIWA KULAMBA FEDHA ZA KABURI!

Waandishi wetu
TAKRIBAN mwaka mmoja tangu mwigizaji Adam Kuambiana aiage dunia, kaburi lake limeibua skendo ya wasanii kudaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kulijengea, Amani lina full stori. Mwigizaji Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ akiwa kwenye kaburi la marehemu Kuambiana. TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, kaburi la nguli huyo wa sinema lilipokuwa linatimiza mwaka mmoja, ilidaiwa lilitoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge 42 kulamba Sh3.3 bilioni kwa mwaka

Dar es Salaam. Kipindi kama hiki, mwaka jana kulikuwa na mnyukano mkubwa wa maoni kuhusiana na pendekezo la Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwamba muundo wa Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar uwe wa Serikali tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

MGAWO : Klabu kulamba Sh80 milioni udhamini

Kila klabu ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu  itajipatia Sh80 milioni kwa msimu ikiwa ni ongezeko la Sh 13 milioni kutoka Sh67 milioni za msimu uliopita kutoka kwa wadhamini wa ligi hiyo, Kampuni ya Simu za Mkononi, Vodacom.

 

10 years ago

GPL

SHOGA, ACHA KULAMBA ASALI KWA NCHA YA KISU

Enyi wanawake mlolaaniwa toka kizazi cha nyoka ambacho kila siku mnatudhalilisha wanawake wenzenu. Kuna faida gani kuolewa nawe una hamu zako? leo sitaki salamu ya mtu maana sioni faida ya kuwa ndani ya ndoa na mtu aliye nje. Unaniangalia? Niangalie sana, mimi nasema kwa uso mpana, sikuogopi wala sikuonei haya usiyejua vibaya. Kisa cha kumuuzia mumeo mbuzi kwenye gunia, kama una pepo la ngono ndo’ unakwenda peku? inaudhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani