Anayedaiwa kulamba fedha za maabara asimamishwa
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Igunga, Rustika Turuka amemsimamisha kazi Mtendaji wa Kata ya Kining’inila wilaya ya Igunga mkoani Tabora John Maduhu kwa muda usiojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mkandarasi asimamishwa kujenga maabara
KAMPUNI ya UK General Services, imesimamishwa kuendelea na ujenzi wa maabara katika shule ya Sekondari ya Mbugani kutokana na kushindwa kukidhi vigezo. Akizungumza jijini hapa jana, Mjumbe wa Kamati ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzTXU2HD8DwsIG40rGKW6Blhmrh3MMh4lk8UGjtwzI1F-uKPZI-oCOHFclbI48XKVGw7b6bGogP85-gHLDeITe5/sddtt.jpg)
STEVE NYERERE ANADAIWA KULAMBA FEDHA ZA KABURI!
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Anayedaiwa kufuja fedha za B Haram kukamatwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200609_171932.jpg)
DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200609_171932.jpg)
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.
Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...
10 years ago
Habarileo26 Jun
Ofisa Kishapu matatani fedha za maabara
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Kishapu kumkamata Ofisa biashara wa wilaya hiyo, Konisaga Mwafongo kwa tuhuma za kuiba Sh milioni 10 za ujenzi wa maabara.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Bawacha wataka fedha za ziara za JK kujenga maabara
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Linex kulamba shavu Sweden
DEOGRATIUS MONGELA
MSANII wa Muziki wa RnB, Mtanzania mwenye maskani yake nchini Sweden, Khairat Carlo Omar, ’Dati’ amemshirikisha kwenye songi lake Mkali wa Bongo Fleva Sunday Mjeda ‘Linex’ na kumtumia tiketi ya ndege kwa ajili ya kufanya video nchini humo.
Dati anayetamba na wimbo wake wa Can Do uliotengenezwa na Prodyuza Fundi Samweli na video ikiwa imeshutiwa na wakali kama Hanscana na Khalfan, ameweka mipango ya kufanya wimbo mpya na Linex ambapo alisema kuwa wimbo huo ni ladha mpya...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...