Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anayedaiwa kulamba fedha za maabara asimamishwa

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Igunga, Rustika Turuka amemsimamisha kazi Mtendaji wa Kata ya Kining’inila wilaya ya Igunga mkoani Tabora John Maduhu kwa muda usiojulikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mkandarasi asimamishwa kujenga maabara

KAMPUNI ya UK General Services, imesimamishwa kuendelea na ujenzi wa maabara katika shule ya Sekondari ya Mbugani kutokana na kushindwa kukidhi vigezo. Akizungumza jijini hapa jana, Mjumbe wa Kamati ya...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE ANADAIWA KULAMBA FEDHA ZA KABURI!

Waandishi wetu
TAKRIBAN mwaka mmoja tangu mwigizaji Adam Kuambiana aiage dunia, kaburi lake limeibua skendo ya wasanii kudaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kulijengea, Amani lina full stori. Mwigizaji Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ akiwa kwenye kaburi la marehemu Kuambiana. TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, kaburi la nguli huyo wa sinema lilipokuwa linatimiza mwaka mmoja, ilidaiwa lilitoka...

 

9 years ago

BBCSwahili

Anayedaiwa kufuja fedha za B Haram kukamatwa

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameagiza kukamatwa kwa afisa mmoja mkuu serikalini kwa tuhuma za kuiba zaidi ya dola bilioni 2 zilizotengewa vita dhidi ya kundi la Boko Haram.

 

5 years ago

CCM Blog

DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA

Godfrey Chikandamwali Na Bashir Nkoromo 
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.

Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...

 

10 years ago

Habarileo

Ofisa Kishapu matatani fedha za maabara

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Kishapu kumkamata Ofisa biashara wa wilaya hiyo, Konisaga Mwafongo kwa tuhuma za kuiba Sh milioni 10 za ujenzi wa maabara.

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha wataka fedha za ziara za JK kujenga maabara

Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limemtaka Rais Jakaya Kikwete kupunguza safari za kwenda nje ya nchi ili fedha anazotumia katika ziara hizo zigharamie ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

 

9 years ago

Global Publishers

Linex kulamba shavu Sweden

DEOGRATIUS MONGELA

MSANII wa Muziki wa RnB, Mtanzania mwenye maskani yake nchini Sweden, Khairat Carlo Omar, ’Dati’ amemshirikisha kwenye songi lake Mkali wa Bongo Fleva Sunday Mjeda ‘Linex’ na kumtumia tiketi ya ndege kwa ajili ya kufanya video nchini humo.

Dati anayetamba na wimbo wake wa Can Do uliotengenezwa na Prodyuza Fundi Samweli na video ikiwa imeshutiwa na wakali kama Hanscana na Khalfan, ameweka mipango ya kufanya wimbo mpya na Linex ambapo alisema kuwa wimbo huo ni ladha mpya...

 

5 years ago

Michuzi

KUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO



 
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana. 
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani