Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa Sh2 bil bandia

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka Sh2.3 bil zilizozuiwa benki zianzishe Vicoba

Baadhi ya wananchi wilayani Nzega, mkoani Tabora wameshauri Baraza la madiwani kutumia busara kuhusu matumizi ya Sh2.3 bilioni za ushuru wa huduma kutoka Mgodi wa Resolute, ili ziwaletee maendeleo badala ya kukaa benki.

 

10 years ago

Mwananchi

Aveva kujenga uwanja Bunju kwa Sh2.5 bil

Wakati uwanja wa Yanga ukiwa bado ‘kitendawili’, wenzao wa Simba wameibuka upya na kusema wameingia mkataba na kampuni ya uchoraji ramani ya Envirolink ili kuwapatia michoro ya hosteli na viwanja viwili katika kuendeleza mradi wa Bunju ambao utaigharimu Simba zaidi ya Sh2.5 bilioni hadi kukamilika kwake.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi wa Sh1.4 bil waibuka TFF

Ndoa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) sasa iko shakani baada ya kampuni hiyo kubwa nchini kutishia kusitisha udhamini wake wa zaidi ya Sh17 bilioni kutokana na kubaini matumizi mabaya ya mamilioni ya fedha, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.

 

9 years ago

Habarileo

TFF kuichongea Algeria Fifa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa linafuatilia kwa kina madai yalitolewa na Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Boniface Mkwasa (pichani) kuhusu hujuma walizofanyiwa wakiwa nchini Algeria.

 

10 years ago

Mwananchi

Fifa yairudisha TFF Karume

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limekerwa na matumizi mabaya ya fedha ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kulitaka kurejesha ofisi zake kwenye Uwanja wa Karume.

 

10 years ago

BBCSwahili

Fifa kuipa fedha TFF

Fifa imeahidi kuipa fedha Shirikisho la soka Tanzania, TFF kwa ajili ya maandalizi ya kuwania kufuzu Kombe la dunia mwaka 2018

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaishitaki TFF kwa Fifa

Uongozi wa Yanga umesema leo utapeleka barua yake Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kuishtaki Kamati ya Utendaji ya TFF kwa kubadili kanuni za Ligi Kuu katikati ya msimu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani