TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Polisi wanasa Sh2 bil bandia
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Wataka Sh2.3 bil zilizozuiwa benki zianzishe Vicoba
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Aveva kujenga uwanja Bunju kwa Sh2.5 bil
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Ufisadi wa Sh1.4 bil waibuka TFF
9 years ago
Habarileo23 Nov
TFF kuichongea Algeria Fifa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa linafuatilia kwa kina madai yalitolewa na Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Boniface Mkwasa (pichani) kuhusu hujuma walizofanyiwa wakiwa nchini Algeria.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Fifa yairudisha TFF Karume
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Fifa kuipa fedha TFF
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Yanga yaishitaki TFF kwa Fifa
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...