Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aveva kujenga uwanja Bunju kwa Sh2.5 bil

Wakati uwanja wa Yanga ukiwa bado ‘kitendawili’, wenzao wa Simba wameibuka upya na kusema wameingia mkataba na kampuni ya uchoraji ramani ya Envirolink ili kuwapatia michoro ya hosteli na viwanja viwili katika kuendeleza mradi wa Bunju ambao utaigharimu Simba zaidi ya Sh2.5 bilioni hadi kukamilika kwake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bil 8/- kujenga uwanja Chunya

KAMPUNI ya saruji mkoani hapa maarufu kama Mbeya Cement, imetoa mifuko 1,000 ya saruji sawa na tani 50  kusaidia kuendeleza ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo wilayani Chunya. Akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa Sh2 bil bandia

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka Sh2.3 bil zilizozuiwa benki zianzishe Vicoba

Baadhi ya wananchi wilayani Nzega, mkoani Tabora wameshauri Baraza la madiwani kutumia busara kuhusu matumizi ya Sh2.3 bilioni za ushuru wa huduma kutoka Mgodi wa Resolute, ili ziwaletee maendeleo badala ya kukaa benki.

 

5 years ago

Michuzi

KINONDONI YAPONGEZWA KWA KUJENGA UWANJA WA MPIRA WA KISASA, TIMU KUBWA ZATAKIWA KUIGA MFANO



Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege akikagua muonekano wa uwanja wa mpira wa miguu wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wakati alipotembelea uwanja huo ,mwenyesuti ya Dakbluu ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo.

……………………………………………………………………………………..

Manispaa ya Kinondoni imepongezwa kwa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu wenye uwezo wa kuchukua takriban idadi ya mashabiki 3600 kwa mara moja.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu wa Waziri wa Tawala za Mikoa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu

UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa  Waziri wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa

MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.

 

11 years ago

Mwananchi

MAJI: Mkopo wa Sh300 bil kujenga Bwawa la Kidunda

>Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar es Salaam (Dawasa) imetia saini makubaliano ya mkopo wa bei nafuu na kampuni ya China kwa ajili ya mradi wa bwawa la Kidunda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uboreshaji Uwanja KIA kugharimu bil. 78/-

UJENZI wa uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unatarajia kugharimu euro milioni 35 (sh bilioni 78). Hayo yalibainika jijini Dar es Salaam juzi katika  hafla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani