Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wanasa Sh2 bil bandia

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepata nguvu kwani linatarajia kupokea kitita cha Dola1. 3 milioni (Sh2.2 bilioni) kutoka Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) pamoja na fedha za kuiandaa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa ajili ya Kombe la Dunia 2018.

 

10 years ago

Mwananchi

Aveva kujenga uwanja Bunju kwa Sh2.5 bil

Wakati uwanja wa Yanga ukiwa bado ‘kitendawili’, wenzao wa Simba wameibuka upya na kusema wameingia mkataba na kampuni ya uchoraji ramani ya Envirolink ili kuwapatia michoro ya hosteli na viwanja viwili katika kuendeleza mradi wa Bunju ambao utaigharimu Simba zaidi ya Sh2.5 bilioni hadi kukamilika kwake.

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka Sh2.3 bil zilizozuiwa benki zianzishe Vicoba

Baadhi ya wananchi wilayani Nzega, mkoani Tabora wameshauri Baraza la madiwani kutumia busara kuhusu matumizi ya Sh2.3 bilioni za ushuru wa huduma kutoka Mgodi wa Resolute, ili ziwaletee maendeleo badala ya kukaa benki.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia

saada mkuyaNa Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...

 

10 years ago

GPL

POLISI WANASA MILIPUKO UGANDA

POLISI nchini Uganda wamekamata kiasi kikubwa cha milipuko walipokuwa wakifanya operesheni ya kutibua jaribio la shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab. Hadi sasa, watu 19 wamekamatwa na Jeshi la Polisi na wanahojiwa kuhusiana na nia yao kutekeleza vitendo vya kigaidi, kulingana na msemaji wa polisi. Wiki iliyopita, ubalozi ya Marekani mjini Kampala ulionya kuwa kulikuwa na uwezekano wa shambulizi la kulipiza kisasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa vilipuzi Uganda

Polisi nchini Uganda wamenasa vilipuzi na washukiwa 19 kufuatia jaribio la shambulizi la kigaidi.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wanasa bastola nyumba ya wageni

JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya

Watu watano wamekamatwa baada ya kupatikana na kilo mbili za mihadarati aina ya heroin, huku raia mmoja wa Uingereza akisakawa Kenya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wanasa ‘dada poa’ 15 Dom

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata wanawake 15 wanaodaiwa kufanya biashara ya kuuza miili yao ‘dada poa’ kutoka mikoa mbalimbali nchini. Wanawake hao wamekamatwa wakati wa msako unaoendelea kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani