Polisi wanasa ‘dada poa’ 15 Dom
JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata wanawake 15 wanaodaiwa kufanya biashara ya kuuza miili yao ‘dada poa’ kutoka mikoa mbalimbali nchini. Wanawake hao wamekamatwa wakati wa msako unaoendelea kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Polisi wanasa vilipuzi Uganda
Polisi nchini Uganda wamenasa vilipuzi na washukiwa 19 kufuatia jaribio la shambulizi la kigaidi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqO2N5TT*0n2HE4NmxJtn09zI2UhugI3MfxKtDQ4jIPZHfX01EaEyQsRqR1G508oAqzLBevBRIP4*MJ4QaZoKX9/polisi.jpg)
POLISI WANASA MILIPUKO UGANDA
POLISI nchini Uganda wamekamata kiasi kikubwa cha milipuko walipokuwa wakifanya operesheni ya kutibua jaribio la shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab. Hadi sasa, watu 19 wamekamatwa na Jeshi la Polisi na wanahojiwa kuhusiana na nia yao kutekeleza vitendo vya kigaidi, kulingana na msemaji wa polisi. Wiki iliyopita, ubalozi ya Marekani mjini Kampala ulionya kuwa kulikuwa na uwezekano wa shambulizi la kulipiza kisasi...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Polisi wanasa magunia 20 ya bangi Longido
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na askari wa Kampuni ya Jumuiya ya Jamii wamefanikiwa kukamata magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya Bangi yaliyotelekezwa kwenye Kijiji cha Olteres wilayani Longido.
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Polisi wanasa silaha zingine Mombasa
Polisi mjini Mombasa Pwani ya Kenya wanasema wamepata silaha nyingine zaidi ikiwemo mabomu katika msikiti wa tatu ambao ulifanyiwa msako
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Polisi wanasa vifaa vya milipuko
>Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kukamatwa na waumini kwenye nyumba za ibada wakiwa na zana za kutengenezea milipuko pamoja na silaha za jadi.
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya
Watu watano wamekamatwa baada ya kupatikana na kilo mbili za mihadarati aina ya heroin, huku raia mmoja wa Uingereza akisakawa Kenya
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Polisi wanasa Sh2 bil bandia
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Polisi wanasa sehena ya Silaha Kenya
Maafisa wa Ulinzi wa Kenya wamenasa shehena ya silaha kufuatia operesheni dhidi ya wapiganaji wa Al Shabaab Kaskazini mwa Kenya
11 years ago
Habarileo14 Dec
Polisi wanasa bastola nyumba ya wageni
JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania