Polisi wanasa magunia 20 ya bangi Longido
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na askari wa Kampuni ya Jumuiya ya Jamii wamefanikiwa kukamata magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya Bangi yaliyotelekezwa kwenye Kijiji cha Olteres wilayani Longido.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Jun
POLISI MKOANI IRINGA WAKAMATA MAGUNIA MATATU YA BANGI
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/35.jpg)
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Ramadhani Mungi alisema polisi walifanya opresheni kusaka mambo yanayohusu makosa ya jinai na kufanyikwa kukamata maguni ya bangi pamoja na kukamatwa watuhumiwa sugu...
10 years ago
Michuzi03 Dec
WAWILI WAKUTWA NA MAGUNIA 12 YA BANGI
Na John Gagarini, Kibaha
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wawili wakazi wa mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kupatikana na magunia 12 ya Bangi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa Polisi mkoani humo Ulrich Matei alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari waliokuwa doria.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea huko Desemba 2 mwaka huu majira ya 4.40 usiku kwenye pori la Vikawe kata Pangani wilaya ya Kibaha.
Aliwataja...
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wawili wakazi wa mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kupatikana na magunia 12 ya Bangi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa Polisi mkoani humo Ulrich Matei alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari waliokuwa doria.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea huko Desemba 2 mwaka huu majira ya 4.40 usiku kwenye pori la Vikawe kata Pangani wilaya ya Kibaha.
Aliwataja...
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Wakamata magunia 267 ya bangi Arusha
Polisi, kwa kushirikiana na maofisa wa Tume ya Kupambana na Dawa za Kulevya, imekamata magunia 267 ya bangi katika vijiji vya Olkokola na Kisimiri Juu wilayani Arumeru.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqO2N5TT*0n2HE4NmxJtn09zI2UhugI3MfxKtDQ4jIPZHfX01EaEyQsRqR1G508oAqzLBevBRIP4*MJ4QaZoKX9/polisi.jpg)
POLISI WANASA MILIPUKO UGANDA
POLISI nchini Uganda wamekamata kiasi kikubwa cha milipuko walipokuwa wakifanya operesheni ya kutibua jaribio la shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab. Hadi sasa, watu 19 wamekamatwa na Jeshi la Polisi na wanahojiwa kuhusiana na nia yao kutekeleza vitendo vya kigaidi, kulingana na msemaji wa polisi. Wiki iliyopita, ubalozi ya Marekani mjini Kampala ulionya kuwa kulikuwa na uwezekano wa shambulizi la kulipiza kisasi...
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Polisi wanasa vilipuzi Uganda
Polisi nchini Uganda wamenasa vilipuzi na washukiwa 19 kufuatia jaribio la shambulizi la kigaidi.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Polisi wanasa vifaa vya milipuko
>Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kukamatwa na waumini kwenye nyumba za ibada wakiwa na zana za kutengenezea milipuko pamoja na silaha za jadi.
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya
Watu watano wamekamatwa baada ya kupatikana na kilo mbili za mihadarati aina ya heroin, huku raia mmoja wa Uingereza akisakawa Kenya
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Polisi wanasa Sh2 bil bandia
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Polisi wanasa silaha zingine Mombasa
Polisi mjini Mombasa Pwani ya Kenya wanasema wamepata silaha nyingine zaidi ikiwemo mabomu katika msikiti wa tatu ambao ulifanyiwa msako
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania