Wakamata magunia 267 ya bangi Arusha
Polisi, kwa kushirikiana na maofisa wa Tume ya Kupambana na Dawa za Kulevya, imekamata magunia 267 ya bangi katika vijiji vya Olkokola na Kisimiri Juu wilayani Arumeru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Jun
POLISI MKOANI IRINGA WAKAMATA MAGUNIA MATATU YA BANGI

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Ramadhani Mungi alisema polisi walifanya opresheni kusaka mambo yanayohusu makosa ya jinai na kufanyikwa kukamata maguni ya bangi pamoja na kukamatwa watuhumiwa sugu...
10 years ago
Michuzi03 Dec
WAWILI WAKUTWA NA MAGUNIA 12 YA BANGI
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wawili wakazi wa mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kupatikana na magunia 12 ya Bangi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa Polisi mkoani humo Ulrich Matei alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari waliokuwa doria.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea huko Desemba 2 mwaka huu majira ya 4.40 usiku kwenye pori la Vikawe kata Pangani wilaya ya Kibaha.
Aliwataja...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Polisi wanasa magunia 20 ya bangi Longido
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Mke, mume wanaswa na bangi Arusha
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Ridhiwani akabidhi sekondari vitanda 267
MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekabidhi vitanda 267 katika shule za sekondari za bweni saba jimboni humo vyenye thamani ya sh milioni 53.4. Akizungumza wakati wa kukabidhi vitanda hivyo ambavyo...
10 years ago
Ivory Haul15 Sep
Four JNIA Security Officers in Court Over 267 Million/
IPPmedia
AllAfrica.com
Four senior security officers with the Tanzania Airport Authority (TAA) appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Monday charged with various offences, including organised crime and dealing in trophies valued at over ...
Security officers in court charged with export of trophiesIPPmedia
all 3
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Magunia ya Kokeni yagunduliwa Ureno
11 years ago
Habarileo15 Mar
Aliyeua akidaiwa magunia ya mpunga ahukumiwa kunyongwa
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga imemhukumu Malambi Lukwaja (47) mkazi wa Kijiji cha Igalula Tarafa ya Kabungu Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.
10 years ago
Mwananchi20 May
Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia