Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakamata magunia 267 ya bangi Arusha

Polisi, kwa kushirikiana na maofisa wa Tume ya Kupambana na Dawa za Kulevya, imekamata magunia 267 ya bangi katika vijiji vya Olkokola na Kisimiri Juu wilayani Arumeru.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

POLISI MKOANI IRINGA WAKAMATA MAGUNIA MATATU YA BANGI

Polisi mkoani Iringa wamefanya msako kali kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na uaslama na kufanyikwa kukamata magunia matatu ya bangi, CD za mafunzo ya jihadi za kialshaababu pamoja na nguzo 35 za umeme mali ya shirika la umeme Tanesco.
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Ramadhani Mungi alisema polisi walifanya opresheni kusaka mambo yanayohusu makosa ya jinai na kufanyikwa kukamata maguni ya bangi pamoja na kukamatwa watuhumiwa sugu...

 

10 years ago

Michuzi

WAWILI WAKUTWA NA MAGUNIA 12 YA BANGI

Na John Gagarini, Kibaha 
 JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wawili wakazi wa mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kupatikana na magunia 12 ya Bangi. 
 Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa Polisi mkoani humo Ulrich Matei alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari waliokuwa doria. 
 Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea huko Desemba 2 mwaka huu majira ya 4.40 usiku kwenye pori la Vikawe kata Pangani wilaya ya Kibaha. 
 Aliwataja...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa magunia 20 ya bangi Longido

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na askari wa Kampuni ya Jumuiya ya Jamii wamefanikiwa kukamata magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya Bangi yaliyotelekezwa kwenye Kijiji cha Olteres wilayani Longido.

 

11 years ago

Mwananchi

Mke, mume wanaswa na bangi Arusha

Polisi mkoani Arusha imekamata watu watano, wakiwamo mume na mke, kwa tuhuma za kukutwa na magunia saba ya bangi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ridhiwani akabidhi sekondari vitanda 267

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekabidhi vitanda 267 katika shule za sekondari za bweni saba jimboni humo vyenye thamani ya sh milioni 53.4. Akizungumza wakati wa kukabidhi vitanda hivyo ambavyo...

 

10 years ago

Ivory Haul

Four JNIA Security Officers in Court Over 267 Million/


IPPmedia
Four JNIA Security Officers in Court Over 267 Million/ - Ivory Haul
AllAfrica.com
Four senior security officers with the Tanzania Airport Authority (TAA) appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Monday charged with various offences, including organised crime and dealing in trophies valued at over ...
Security officers in court charged with export of trophiesIPPmedia

all 3

 

11 years ago

BBCSwahili

Magunia ya Kokeni yagunduliwa Ureno

Polisi yanasa takriban magunia 200 ya kokeni iliyokuwa ikiuzwa ndani ya visanduku katika maduka mbalimbali ya jumla nchini Ureno

 

11 years ago

Habarileo

Aliyeua akidaiwa magunia ya mpunga ahukumiwa kunyongwa

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga imemhukumu Malambi Lukwaja (47) mkazi wa Kijiji cha Igalula Tarafa ya Kabungu Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.

 

10 years ago

Mwananchi

Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia

>Ilikuwa ni kama kutekeleza maandiko ya Biblia yanayosema “jifungeni nguo za magunia, ombolezeni na kulia kwa uchungu”, wakati ndugu walipokwenda Hospitali ya Rufaa ya KCMC kuchukua mwili wa marehemu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani