Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magunia ya Kokeni yagunduliwa Ureno

Polisi yanasa takriban magunia 200 ya kokeni iliyokuwa ikiuzwa ndani ya visanduku katika maduka mbalimbali ya jumla nchini Ureno

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara wa Dar anaswa na kokeni KIA

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bobert BoazMFANYABIASHARA wa jijini Dar es Salaam, Rukia Mohamed (29) amekamatwa na dawa za kulevya aina ya kokeni zenye uzito wa zaidi ya kilo 2 zikiwa na thamani ya mamilioni ya fedha jana usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

 

10 years ago

Habarileo

Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni

RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 19 yagunduliwa Mexico

Miili ya watu wapatao 19 imepatikana katika jimbo la Mexico la Guerrero, ambako wanafunzi 43 walitoweka mwaka jana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Gesi nyingi yagunduliwa Misri

Kampuni moja ya Utaliana yasema yagundua gesi itayofaa Misri kwa miongo kadha ijayo

 

10 years ago

BBCSwahili

Taya ya mtu wa kwanza yagunduliwa

Wanasayansi wamegundua taya wanaodai ni ile ya mtu wa kwanza duniani.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-

WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9

 

10 years ago

Michuzi

WAWILI WAKUTWA NA MAGUNIA 12 YA BANGI

Na John Gagarini, Kibaha 
 JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wawili wakazi wa mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kupatikana na magunia 12 ya Bangi. 
 Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa Polisi mkoani humo Ulrich Matei alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari waliokuwa doria. 
 Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea huko Desemba 2 mwaka huu majira ya 4.40 usiku kwenye pori la Vikawe kata Pangani wilaya ya Kibaha. 
 Aliwataja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ujerumani 3-0 Ureno

Ujerumani imefungua kampeini yake kwa kishindo ikiiadhibu Ureno 3-0

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani