Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni
RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jul
Kortini kwa kuingiza vifaa nchini bila leseni
RAIA wa Lebanon, Mohammed Alli Attwi (27) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka sita likiwamo la kuingiza vifaa vya mawasiliano ya kimataifa bila ya kuwa na leseni na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Mcolombia mbaroni kwa Cocaine
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria. Akizungumza...
10 years ago
Habarileo24 Jan
Bandari kuingiza mapato Sh trilioni 1 kwa mwaka
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema bandari hiyo ina uwezo wa kuingiza kipato kinachofikia Sh trilioni moja kwa mwaka, kama baadhi ya vikwazo vitashughulikiwa.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Magadi soda kuingiza bil. 480/- kwa mwaka
SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC) limegudua kiasi kikubwa cha madini ya magadi soda katika Bonde la Engaruka, Wilaya ya Monduli, Arusha. Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa NDC, Abel Ngapemba,...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Butiama wapanga kuingiza Sh14mil kwa mauzo ya pamba
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Magunia ya Kokeni yagunduliwa Ureno
11 years ago
Habarileo23 Dec
Mfanyabiashara wa Dar anaswa na kokeni KIA
MFANYABIASHARA wa jijini Dar es Salaam, Rukia Mohamed (29) amekamatwa na dawa za kulevya aina ya kokeni zenye uzito wa zaidi ya kilo 2 zikiwa na thamani ya mamilioni ya fedha jana usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).