Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni

RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kortini kwa kuingiza vifaa nchini bila leseni

RAIA wa Lebanon, Mohammed Alli Attwi (27) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka sita likiwamo la kuingiza vifaa vya mawasiliano ya kimataifa bila ya kuwa na leseni na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-

WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mcolombia mbaroni kwa Cocaine

KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria. Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Bandari kuingiza mapato Sh trilioni 1 kwa mwaka

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande akijibu baadhi ya hoja zilizokuwa zikiibuliwa na wabunge wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo.MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema bandari hiyo ina uwezo wa kuingiza kipato kinachofikia Sh trilioni moja kwa mwaka, kama baadhi ya vikwazo vitashughulikiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magadi soda kuingiza bil. 480/- kwa mwaka

SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC) limegudua kiasi kikubwa cha madini ya magadi soda katika Bonde la Engaruka, Wilaya ya Monduli, Arusha. Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa NDC, Abel Ngapemba,...

 

9 years ago

Mwananchi

Butiama wapanga kuingiza Sh14mil kwa mauzo ya pamba

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama mkoani Mara, inatarajia kuingiza zaidi ya Sh14.4 milioni kwa ushuru unaotokana na ununuzi wa pamba kwa msimu wa ununuzi wa zao hilo kwa mwaka 2015/2016.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini

Kanda ya video ya mwanamke huyo mwenye akili punguani akiingia msikitini nchini Indonesia ilisambaa sana mwaka uliopita

 

11 years ago

BBCSwahili

Magunia ya Kokeni yagunduliwa Ureno

Polisi yanasa takriban magunia 200 ya kokeni iliyokuwa ikiuzwa ndani ya visanduku katika maduka mbalimbali ya jumla nchini Ureno

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara wa Dar anaswa na kokeni KIA

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bobert BoazMFANYABIASHARA wa jijini Dar es Salaam, Rukia Mohamed (29) amekamatwa na dawa za kulevya aina ya kokeni zenye uzito wa zaidi ya kilo 2 zikiwa na thamani ya mamilioni ya fedha jana usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani