Mfanyabiashara wa Dar anaswa na kokeni KIA
MFANYABIASHARA wa jijini Dar es Salaam, Rukia Mohamed (29) amekamatwa na dawa za kulevya aina ya kokeni zenye uzito wa zaidi ya kilo 2 zikiwa na thamani ya mamilioni ya fedha jana usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JCVRBTTob5nT60AFR5tMgS0YuDV*reFO3rMDR4cZZIOXFLOAQrJkLapFhe87F7hbQMks5oat2TLpCYOTc-50SXk1GW6x6fVC/ametakamwcopy.jpg?width=650)
EE! MUNGU: MFANYABIASHARA WA MAGARI ANASWA AKITAKA KUMLAWITI MODO MAARUFU
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Mfanyabiashara Dar ajinyonga
MFANYABIASHARA, Bakari Yohana (34), mkazi wa Manzese, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia waya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema jana kuwa tukio...
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Magunia ya Kokeni yagunduliwa Ureno
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni
RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2d201zYQvbalEXZBhFoicFffh2fQrmvqCYY-PoUEmfNx7aUTAe1asxNusBaUy9dNovBiNOTWhYfHoLL7r9o7UP/TRAFIKI.jpg)
TRAFIKI MWINGINE FEKI ANASWA DAR!
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Mnigeria mwingine anaswa na ‘unga’ Dar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWdK0xj6jioKWbgPBvbpzvFfTuzZ6booVxEByt0*umZnniY0Mx3z1phEM95npsqQ*1i2cdIWx1R6*R9WHz6y0zT/bilionea.jpg?width=650)
BILIONEA ANASWA KWA UNGA DAR
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Anaswa na kete 71 Uwanja wa Ndege Dar