BILIONEA ANASWA KWA UNGA DAR

Na Makongoro Oging' BILIONEA maarufu jijini Dar es Salaam, Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’(44) ambaye alikuwa akisakwa kwa muda mrefu na Kikosi Maalum cha Polisi Tanzania kwa madai ya kujihusisha na biashara haramu ya ‘unga’, amenaswa. Vyanzo vililiambia gazeti hili kwamba, mtuhumiwa huyo alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar, Februari 23, mwaka huu, saa sita mchana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
BILIONEA WA UNGA ATIKISA DAR
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Mnigeria mwingine anaswa na ‘unga’ Dar
11 years ago
Mwananchi23 May
Bibi anaswa amebeba ‘unga’ Uwanja wa Ndege Dar
10 years ago
GPLKESI BILIONEA WA UNGA YAPIGWA KALENDA
10 years ago
GPL
ASKOFU ANASWA NA UNGA!
10 years ago
GPL
RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!
11 years ago
GPL
BILIONEA DAR AJIUA KWA RISASI
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dar hatarini kwa unga wa lishe, visima vya maji
11 years ago
GPL05 Sep
MWANAFUNZI WA KIKE MIAKA 11 ANASWA KWA TUHUMA ZA WIZI DAR