Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAFUNZI WA KIKE MIAKA 11 ANASWA KWA TUHUMA ZA WIZI DAR

Mwanafunzi wa kike wa Shule ya Msingi Upendo iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka 11 amenaswa na Jeshi la Polisi Dar leo eneo la Posta kwa tuhuma za wizi na utapeli wa njia za udanganyifu.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

11 years ago

GPL

SANGOMA ANASWA KWA WIZI WA WATOTO

Na Waandishi Wetu
MGANGA wa kienyeji ‘Sangoma’aitwaye Ramadhani Issa (20) amedaiwa kuwatorosha watoto wawili, Salim Swalehe(13) na Laurent Oscar (13) wanaosoma katika Shule ya Msingi ya Pamba jijini hapa.
Tukio hilo limetokea Januari 20, mwaka huu katika kitongoji cha Ujaluoni, Igogo jijini hapa baada ya watoto hao kutoonekana kwa mwezi mzima tangu Desemba 27, mwaka jana. Inadaiwa kwamba watoto hao walirudi makwao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa EPL anaswa kwa wizi London

Aliyekuwa Mchezaji wa ligi kuu ya Uingereza anaswa kwa wizi katika maduka ya Harrods mjini London

 

11 years ago

GPL

MREMBO ANASWA KWA WIZI WA ‘MAKUFULI’...

Na Dustan Shekidele, Morogoro
MREMBO Asna Eliasmkazi wa maeneo ya Manzese mkoani hapa, ameingia matatani baada ya kutiwa mbaroni kwa wizi wa nguo za ndani za mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la aina yake, lilitokea Jumatatu iliyopita mchana wa jua kali nyumbani kwa Kigogo wa UWT kupitia CCM, Bi. Mwajuma Malingo anayeishi Mtaa wa Holowera Kata ya Mji Mpya. Akizungumza na paparazi wetu kuhusu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanne wauawa kwa tuhuma za wizi

WATU wanne wameuawa kwa kupigwa marungu, kuchomwa mikuki na miili yao kuteketezwa kwa moto wilayani Sengerema, Mwanza wakituhumiwa kuwa wezi. Watu hao huku wawili kati yao ni ndugu, waliuawa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemnasa Hakimu mmoja wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh500,000.

 

11 years ago

Habarileo

Mkazi wa Mbagala anaswa kwa tuhuma za kuwa na heroin

Godfrey NzowaMKAZI wa Mbagala, Salama Omary(39) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na pipi 67 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 48, alizokuwa amezimeza tumboni.

 

11 years ago

Habarileo

Wananchi waua watatu kwa tuhuma za wizi

WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka wameuawa na wananchi wenye hasira kwa tuhuma za kuendesha uporaji kwa kuvunja nyumba za watu na kuiba.

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi

Viongozi na wanaharakati wa haki za binaadamu kutoka kaunti ya Nakuru nchini Kenya wamepaza sauti zao kukemea vitendo vya ukatili unaofanywa na polisi mjini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani