ASKOFU ANASWA NA UNGA!
![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz4tWimAYHZLFhZ9Ruks0qz0dTv5Nswv0e5J4vd*aw7mHEmGP6odCwdjbyvAP5hTrOQXJQBvwaxmOA8rKvErLxdt/askofu.gif)
Stori: MAKONGORO OGING’ na Haruni Sanchawa              KIMENUKA! Vigogo wa madawa ya kulevya wakiwemo viongozi wa dini sasa wanaanza kupukutika kutoka kwenye mstari wa siri huku baadhi yao wakikimbilia nje ya nchi kufuatia oparesheni kali inayofanywa na Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulenya Tanzania kuwanasa kila kukicha, Uwazi lina mchoro kamili. Askofu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5MRiWiv-36s5IGJY1CFIIzOKSoFARbrZlBQ5bsjYIGKHz2u6TUp4MH5i7Sq-arrPt-IXCw9-SDYRwnbwR4rVNDY/FRONTIJUMAA..jpg?width=650)
RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!
Mwandishi wetu
Jamaa ambaye inasemekana ni rafiki wa karibu wa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aitwaye Morris Sekwao ‘Junior’ inadaiwa amepata msala ‘hevi’ baada ya kutiwa mbaroni nchini Nigeria akituhumiwa kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’.Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa familia ya Junior zilidai kuwa, jamaa huyo alipatwa na mkasa huo hivi...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Mnigeria mwingine anaswa na ‘unga’ Dar
Raia wa Nigeria, Anthony Ifeanyichukwa Okafor (52), amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akidaiwa kumeza kete 100 za dawa za kulevya aina ya cocaine ambazo thamani yake bado haijafahamika.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWdK0xj6jioKWbgPBvbpzvFfTuzZ6booVxEByt0*umZnniY0Mx3z1phEM95npsqQ*1i2cdIWx1R6*R9WHz6y0zT/bilionea.jpg?width=650)
BILIONEA ANASWA KWA UNGA DAR
Na Makongoro Oging' BILIONEA maarufu jijini Dar es Salaam, Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’(44) ambaye alikuwa akisakwa kwa muda mrefu na Kikosi Maalum cha Polisi Tanzania kwa madai ya kujihusisha na biashara haramu ya ‘unga’, amenaswa. Vyanzo vililiambia gazeti hili kwamba, mtuhumiwa huyo alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar, Februari 23, mwaka huu, saa sita mchana...
11 years ago
Mwananchi23 May
Bibi anaswa amebeba ‘unga’ Uwanja wa Ndege Dar
Bibi mmoja raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) amevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
11 years ago
MichuziHafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana
Mamia ya wakotiliki wamejitokeza kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga ambaye anahamia Mpanda kwa ajili ya kuendelea na kazi Dini.Sherehe hiyo iliyotanguliwa na Ibada ilifanyika katika Kanisa kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba mkoani Dodoma.
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...
11 years ago
GPLHAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA
Kiongozi wa kanisa Katoliki hapa nchini Mwadhama Polcarp Kardinali Pengo (kulia) akipeana mkono na Askofu Gervas John Nyaisonga. Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda akibusu Pete ya Kiongozi wa kanisa Katoliki hapa nchini Mwadhama Polcarp Kardinali Pengo.…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zH0W867zq4Y/Vczp823ZtNI/AAAAAAAHwZQ/AmX_dWEMDyg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7t3xx-fl3FA/Vczp-_pNcPI/AAAAAAAHwZ8/JqfhHJF_lOo/s640/unnamed.jpg)
Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili
![](http://2.bp.blogspot.com/-RCv2jQP8O9M/Vczp98oxdAI/AAAAAAAHwZs/x22-LVv3RNQ/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania