Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIPATIE UNGA MZURI WA SWEET UNGA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

JK: Wauza unga hawatanyongwa

Bagamoyo. Rais Jakaya Kikwete amesema amesaini sheria mpya ya dawa za kulevya ya mwaka 2015, itakayoanza kutumika kabla ya Oktoba na wauzaji wake hawatanyongwa bali watafungwa maisha.

 

10 years ago

GPL

ASKOFU ANASWA NA UNGA!

Stori: MAKONGORO OGING’ na Haruni Sanchawa               
KIMENUKA! Vigogo wa madawa ya kulevya wakiwemo viongozi wa dini sasa wanaanza kupukutika kutoka kwenye mstari wa siri huku baadhi yao wakikimbilia nje ya nchi kufuatia oparesheni kali inayofanywa na Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulenya Tanzania kuwanasa kila kukicha, Uwazi  lina mchoro kamili. Askofu...

 

11 years ago

Mwananchi

Abambwa na unga JNIA

Mtanzania mwenye uraia wa Oman, Hafidh Hilary (37) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za heroine.

 

10 years ago

GPL

WEMA ANABWIA UNGA!

Musa Mateja
PAMOJA na mwenyewe kukanusha kuwa si mtumiaji wa madawa ya kulevya (unga), watu wanazidi kusema eti supastaa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Madam’ anatumia unga, Risasi Jumamosi limesheheni data. Supastaa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Madam’. UBUYU WAVUJISHWA
Kwa mujibu wa chanzo makini, Wema amekuwa akitumia kilevi hicho kwa muda mrefu huku akifanya jambo hilo kwa siri...

 

11 years ago

GPL

UNGA WAZIDI KUMTESA RAY C

Rehema Chalamila ‘Ray C’ katika pozi. NA MAKONGORO OGING' MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ambaye aliwahi kuathirika na utumiaji wa ‘unga’, hivi karibuni alitinga ofisi ya kitengo cha kupambana na kudhibiti madawa ya kulevya na kuomba kupatiwa majina, idadi na sehemu walipo watumiaji wa mihadarati hiyo ili aweze kuwasaidia kwa kuwapa somo, kitu...

 

10 years ago

GPL

RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!

Mwandishi wetu
Jamaa ambaye inasemekana ni rafiki wa karibu wa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aitwaye Morris Sekwao ‘Junior’ inadaiwa amepata msala ‘hevi’ baada ya kutiwa mbaroni nchini Nigeria akituhumiwa kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’.Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa familia ya Junior zilidai kuwa, jamaa huyo alipatwa na mkasa huo hivi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sidiria yatumika kusafirisha 'unga'

Mwanamke muuza dawa za kulevya anakabiliwa na adhabu ya kifungo baada ya kukutwa amesheheni dawa za kulevya katika sidiria yake

 

10 years ago

GPL

WALIONASWA NA UNGA WASOTA JELA

Na Haruni Sanchawa/Uwazi WATU wawili raia wa kigeni wanashikiliwa na polisi mkoani Lindi baada ya kukamatwa wakiwa na kilo 40 za madawa ya kulevya aina ya Heroine yenye thamani ya shilingi bilioni 2.4, tukio lililotokea Februari 7, mwaka huu.
Miongoni mwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema watu hao, Ture Ally (55) raia wa Uganda na Sano Sadick Abobakary (53) wa Guinea...

 

11 years ago

Habarileo

KIA kuongeza udhibiti wa ‘unga’

UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kudhibiti usafirishaji wa dawa za kulevya, kutokana maboresho yaliyofanyika katika kitengo chake cha usalama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani