WALIONASWA NA UNGA WASOTA JELA
Na Haruni Sanchawa/Uwazi WATU wawili raia wa kigeni wanashikiliwa na polisi mkoani Lindi baada ya kukamatwa wakiwa na kilo 40 za madawa ya kulevya aina ya Heroine yenye thamani ya shilingi bilioni 2.4, tukio lililotokea Februari 7, mwaka huu. Miongoni mwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema watu hao, Ture Ally (55) raia wa Uganda na Sano Sadick Abobakary (53) wa Guinea...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Mwanamke wa unga jela miaka 20
Anna Gemanist Mboya.
Na Makongoro Oging’
Mrembo wa madawa ya kulevya ‘unga’, Anna Gemanist Mboya mkazi wa Kijitonyama, Kinondoni jijini Dar amefungwa jela miaka 20 na kupigwa faini ya shilingi milioni 148, fedha anazotakiwa kuzilipa mara atakapomaliza kifungo.
Mrembo huyo ambaye ni mfanyabiashara, amefungwa Desemba, Mosi, mwaka huu mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Wilfrida Koroso kwa kosa la kusafirisha madawa ya kulevya.
Kamanda wa Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya...
9 years ago
GPLKIGOGO WA UNGA JELA MIAKA 20, FAINI SHILINGI BILIONI 15
10 years ago
GPL9 years ago
Mwananchi30 Dec
Washtakiwa wizi wa mtandao wasota rumande
10 years ago
Mwananchi05 May
Kidato cha sita wasota vituoni
10 years ago
Habarileo16 Jan
Wafanyakazi Tazara wasota kortini kusubiri hukumu
SAKATA la mgomo wa wafanyakazi 1,500 wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ulioingia katika siku ya sita, limechukua sura mpya baada ya wafanyakazi hao waliofunguliwa kesi katika Mahakama ya Kazi, kusota kwa siku nzima wakisubiri hukumu yao.
10 years ago
Habarileo07 Jan
Mwili wa Msierra Leone aliyeuawa akitoroka wasota Muhimbili
WAKATI mwili wa mtuhumiwa wa dawa za kulevya, Abdul Koroma (33) aliyeuawa wakati akijaribu kutoroka ukiendelea kuhifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala limesema linasubiri kujitokeza kwa ndugu wa marehemu wakati wowote kwa ajili ya kuja kuuchukua mwili huo.
11 years ago
Habarileo01 Jan
Kesi ya walionaswa na kontena la meno ya tembo Jan. 16
UPELELEZI wa kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 7.5 inayowakabili watu sita waliokamatwa Zanzibar, bado haujakamilika.
11 years ago
Habarileo08 Mar
Polisi Dodoma yataja 15 walionaswa kwa 'ukahaba'
WANAWAKE 15 wametiwa mbaroni mkoani Dodoma kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya ukahaba. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime juzi watu hao wamekamatwa kufuatia msako uliofanywa mwanzoni mwa wiki.