Washtakiwa wizi wa mtandao wasota rumande
Watu watatu wanaokabiliwa na kesi ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4milioni kwa njia ya udanganyifu, wataendelea kusota rumande hadi Januari 11, mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Messi na babake washtakiwa kwa wizi
Jaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argenstina Lionel Messi ,ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola milioni 4.
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mtandao wa kukuza uasherati washtakiwa
Mtandao wa kuwakutanisha wapendanao na unaowalenga watu walio katika ndoa nchini Ufaransa umeshtumiwa kwa kuvunja sheria.
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watuhumiwa kuwa na mtandao wa wizi wa madini
Sakata la wizi wa madini ya Tanzanite ya uzito wa kilogramu 15 yenye thamani ya zaidi ya Sh10 bilioni uliotokea katika Mgodi wa Tanzanite One Mining Limited(TML) hivi karibuni limeendelea kuchukua sura mpya baada ya vigogo wawili ndani ya kampuni hiyo kutajwa kuunda mtandao mpana wa wizi wa madini hayo.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Wizi wa mtandao unavyozigharimu benki duniani
Zile nyakati za wizi wa kutumia bunduki, mapanga au visu sasa zimepitwa na wakati, badala yake, wahalifu sasa wanatumia njia ya mtandao.
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Wizi wa mtandao nchini watikisa sekta ya utalii
Wizi na utapeli kwa njia ya mtandao, umeanza kuitikisa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha baada ya wahalifu wa kimataifa kuingilia mawasiliano ya baruapepe (emails) za mawakala wa utalii.
10 years ago
MichuziWIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA MTANDAO TISHIO DUNIANI
10 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-I1cf5hw6HFs/VOR0A0M0fNI/AAAAAAAABRw/gTcPxKp2gLw/s72-c/ATM-Theft.jpg)
MAMILIONI YA DOLA YAIBIWA KATIKA MABENKI KUPITIA WIZI MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-I1cf5hw6HFs/VOR0A0M0fNI/AAAAAAAABRw/gTcPxKp2gLw/s1600/ATM-Theft.jpg)
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Tishio la uhalifu mtandao na utayari wa kukabiliana nao bado kuna kutowiana ipasavyo ingawa jitihada bado ni kubwa kuweza kukabiliana na...
10 years ago
MichuziRAIA WATATU WA KIGENI WAKAMATWA KWA MAKOSA YA WIZI WA MTANDAO KATIKA MABENKI JIJINI DAR ES SALAAM.
Polisi wa kikosi Maalum cha kupambana na wizi wa mtandao (Cyber Crime) walipata taarifa za kuaminika kwamba watu hao watatu walikuwa katika mazingira ya kutiliwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania