Messi na babake washtakiwa kwa wizi
Jaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argenstina Lionel Messi ,ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola milioni 4.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Washtakiwa wizi wa mtandao wasota rumande
Watu watatu wanaokabiliwa na kesi ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4milioni kwa njia ya udanganyifu, wataendelea kusota rumande hadi Januari 11, mwakani.
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Msichana auawa kwa kumtetea babake India
Polisi nchini India wanasema kuwa msichana mmoja ambaye alijaribu kumtetea babake kwenye baraza moja la kijiji amepatikana akiwa amekufa.
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Wanaume 28 washtakiwa kwa uasherati
Watu 28 wamefikishwa mahakamani mjini Cairo Misri kutokana na mashtaka ya uasherati
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji
Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS
Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Washtakiwa Marekani kwa uhaini Gambia
Marekani imewafungulia mashitaka watu wawili kwa kuhusika na jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Gambia wiki iliyopita.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa
Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Sita washtakiwa kwa ugaidi Arusha
WATUHUMIWA sita wanaodaiwa kurusha bomu katika mgahawa wa Vama Tradition jijini Arusha, Julai 7, mwaka huu, na kusababisha watu wanane kujeruhiwa huku mmoja wao akikatwa mguu, wamepandishwa kizimbani na kusomewa...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Watu 5 washtakiwa kwa mauaji ya Garissa
Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania