Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msichana auawa kwa kumtetea babake India

Polisi nchini India wanasema kuwa msichana mmoja ambaye alijaribu kumtetea babake kwenye baraza moja la kijiji amepatikana akiwa amekufa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Auawa kwa kula kitoweo cha nyama India

Watu 6 wamekamatwa na polisi nchini India baada ya kumvamia na kumpiga mwanaume mmoja hadi kufa eti alikuwa amekula nyama ya ngombe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msichana mwingine ajinyonga India

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 19 amepatikana akining'inia mtini Kaskazini mwa India baada ya kubakwa.

 

10 years ago

Vijimambo

MSICHANA WA MIAKA 21 AUAWA NA MPENZI WAKE KISHA KUMFUKIA CHINI YA KITANDA





Tukio moja lilimeibua hisia kubwa kwa wakazi wa kijiji cha Isyongo kaunti ya nyamira nchini Kenya, baada ya Polisi kufukua maiti ya msichana mmoja Feidhi Omega 21, iliyokuwa imezikwa chini ya uvungu wa kitanda.

Taarifa zinasema kuwa binti huyo alimtembelea mpenzi wake wiki mbili zilizopita lakini hakurudi nyumbani kwao ndipo mama yake alipoanza kumtafuta na kuelekezwa kwa mpenzi wake Daniel Nyabuti, huku akiwa na matumaini ya kumkuta mtoto wake akiwa hai, walipofika nyumbani kwa kijana huyo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu nchini India

 

9 years ago

BBCSwahili

Messi na babake washtakiwa kwa wizi

Jaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argenstina Lionel Messi ,ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola milioni 4.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9

Polisi nchini Argentina wamemwokoa msichana mwenye umri wa miaka 15 ambaye alifungiwa katika eneo la kuegesha magari na kunyimwa chakula pamoja na kupigwa kwa miaka tisa.

 

11 years ago

Michuzi

MSICHANA WA KAZI ATIWA MBARONI KWA KUTUPA KICHANGA

Na John Gagarini, Kibaha
MSICHANA Theresia Matai (19) ambaye ni mfanyakazi wa ndani mkazi wa Kwa Mathias wilayani Kibaha mkoani Pwani anashaikiliwa na Jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumtupa mtoto wake aliyejifungua.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 27 mwaka huu majira ya saa 3 usiku.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea eneo la Mwembe...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI MSICHANA WA KAZI AKUCHUKULIE MUME WAKO-2

ASALAAM aleiykhum/Bwana Yesu asifiwe.
Bila shaka wasomaji wa safu hii hamjambo na mnaendelea vema na shughuli za ujenzi wa taifa.
Kwa wale wagonjwa, nawaombea dua mpone haraka na kuuanza mwaka 2014 kwa furaha. Leo tunaendelea na mada yetu ya wiki iliyopita, nilipata ujumbe mwingi kwa njia ya simu kutoka kwa wasichana wa kazi na akina baba wenye nyumba wakiwa na mawazo tofauti. Haya ndio makosa wayafanyayo wanawake...

 

9 years ago

GPL

ASKARI WA ISRAEL AMUUA KWA RISASI MSICHANA WA KIPALESTINA

Askari wa Kipalestina akimuweka chini ya ulinzi msichana wa Kiislaer, Hadeel al-Hashlamon. Askari wenzake waki wakimzuia kufanya chochote kwa binti huyo. Hofu ikitanda kwa maaskari hao. Hadeel al-Hashlamon akiwa chini baada ya kupigwa risasi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani