Auawa kwa kula kitoweo cha nyama India
Watu 6 wamekamatwa na polisi nchini India baada ya kumvamia na kumpiga mwanaume mmoja hadi kufa eti alikuwa amekula nyama ya ngombe.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Auwawa kwa 'kula' nyama ya ng'ombe india
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
REVIVALE OF ISLAMIC HARTAGE FOUNDATION: Yatoa kitoweo cha Nyama Singida
Baadhi ya waumini wa madhehebu ya dini ya kiislamu wa mjini Singida wakipatiwa mgao wa sadaka ya chinjo lla nyama kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Haji ambapo jumla ya watu 16,104 walinufaika na sadaka hiyo ikiwa ni ya tekelezaji wa moja ya nguzo tano za dini ya kiislamu.
Na, Jumbe Ismailly
[SINGIDA] Taasisi ya Kiislamu ya Revivale of Islamic Hartage Foundation yenye makao yake makuu nchini Kuweit,Saudi Arabia imetoa msaada wa kitoweo cha nyama ya mbuzi na kondoo 2,667 wenye...
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.
Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.
SHUHUDA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Msichana auawa kwa kumtetea babake India
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s72-c/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s640/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe47t87MaiIGg1mpHpR2NVEAbVO39MPPpKk0-QDlnRTsnVw8Cn-vDz2iEWm4Z4*O2FL0IYYh5l-dKy5ltpQ*FUS2/mpekezs.jpg)
MWANA KUMILIKI BUCHA SI KULA NYAMA DEILE!
11 years ago
Mwananchi17 May
Njaa yaisukuma familia kula nyama ya paka
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA