Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANA KUMILIKI BUCHA SI KULA NYAMA DEILE!

Inakuwaje wanangu? Mishe zikoje kitaa hiyo? Ebana homa ya kitu cha holidei ikoje? Kama ulikuwa hujasanuka dheni nikunyakishe kwamba ni kitu cha bethidei ya Yesu so kuibuka chachi kwa wale Wakristo ndo mpango mzima dheni ukiibuka kitaa ndo bata la kufa mtu bati pliizi liwe aste-aste chaliiangu. Ebana eee…si tupo mapumziko ya holidei so masti tukutane na vichwa vya longi taimu na mastori moo ya mwaka mzima yagongwe ileile....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI


Baadhi ya mabucha yaliyofungwa.
Wauzaji wa Nyama wakiwa nje ya mabucha yao baada ya kugoma kuuza nyama. Baadhi ya mabucha yaliyofungwa. Na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...

 

9 years ago

Michuzi

Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?

 Je! Ni kawaida asili ya mwanaadam kuwa nakula nyama? Kufuatana na mafunzo ya sanaa ya Yoga, inashauri sana kuepuka madhara yanayosababishwa na athari ya kula nyama ambayo ni mjadala mrefu na uanaleta hoja nyingi katika maisha ya mfumo mzima wa sanaa hiyo.Leo, kama tunajiandaa kuelekea mwaka mpya 2016 na malengo mapya, basi moja ya ushauri na mazungumzo ni kufahamishana na kuhusu mambo kazaa ya sanaa ya Yoga na uhusiano wake wa kutokula nyama kiafya.

Mfumo wa kuchanganya na kuyeyusha chakula...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama

  Aliyemuunguza ni mama mkubwa siku ya krismasi.
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.

Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.

SHUHUDA...

 

9 years ago

BBCSwahili

Auwawa kwa 'kula' nyama ya ng'ombe india

Polisi nchini India wamewakamata watu wawili kuhusiana na mauaji ya mtu mmoja muislamu kutokana na uvumi kwamba familia yake imekuwa ikihifadhi na kula nyama.

 

11 years ago

Mwananchi

Njaa yaisukuma familia kula nyama ya paka

Siyo rahisi kwa mtu ambaye anapata chakula kutwa mara tatu, kuamini kuwa kuna binadamu ambao wanaweza kuishi hata siku tatu bila kupata hata mlo mmoja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Auawa kwa kula kitoweo cha nyama India

Watu 6 wamekamatwa na polisi nchini India baada ya kumvamia na kumpiga mwanaume mmoja hadi kufa eti alikuwa amekula nyama ya ngombe.

 

10 years ago

GPL

MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!

Niaje…niaje watu wa Mungu? Tupo vizuri…si ndiyo eeh. Basi sawa kozi kona hii ni mzuksi kinomanoma. Ama nene? Basi ni mpango mzima wana. Hapa ni mwendo wa kusanuka na kama vipi ukiona spidi ni kubwa unaruhusiwa kuomba poo. Usijidai kukomaa utapasuka bure. Huu mziki mnene wazazi. Tudei bana ngoja tupige mastori moo ya masela wa tauni. Najua samu pipo tena makachaa wangu kabisa dizaini kama watanimaindi bati kama mbwai...

 

10 years ago

GPL

FISI HAACHIWI BUCHA

He he he heeee, acha nicheke miye mwana Kibatari mjukuu ya Kandili, unajua vitu vingine vinachekesha kama si kusikitisha, unalalamika mwanamke mzima uliyekamilika tena bila aibu eti mfanyakazi wako wa ndani anakulia mali zako kwa mumeo kuhamishia mapenzi kwake! Unajua kauli hiyo hunifanya nikumbuke ile kauli isemayo mpambe awe mwenye mali na mwenye mali aonekane mpambe. Ooh, nilikuja na kasi ya ajabu na miye bila salamu kwa...

 

11 years ago

GPL

ABAMBWA AKIIBA KANISANI, AGEUZWA BUCHA!

Stori: Nyemo Chilongani na Deogratius Mongela
KIOJA! Kijana anayejulikana kwa jina moja la Emmanuel (30), amejikuta akipokea kipigo ‘hevi’ baada ya kukamatwa akiiba katika Chuo cha Theofilo Kisanji ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama, Dar. Emmanuel baada ya kupokea kichapo cha nguvu kutoka kwa wanachuo. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni kanisani hapo, mchana kweupe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani