Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?
Je! Ni kawaida asili ya mwanaadam kuwa nakula nyama? Kufuatana na mafunzo ya sanaa ya Yoga, inashauri sana kuepuka madhara yanayosababishwa na athari ya kula nyama ambayo ni mjadala mrefu na uanaleta hoja nyingi katika maisha ya mfumo mzima wa sanaa hiyo.Leo, kama tunajiandaa kuelekea mwaka mpya 2016 na malengo mapya, basi moja ya ushauri na mazungumzo ni kufahamishana na kuhusu mambo kazaa ya sanaa ya Yoga na uhusiano wake wa kutokula nyama kiafya.
Mfumo wa kuchanganya na kuyeyusha chakula...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Auwawa kwa 'kula' nyama ya ng'ombe india
10 years ago
GPLMWANA KUMILIKI BUCHA SI KULA NYAMA DEILE!
11 years ago
Mwananchi17 May
Njaa yaisukuma familia kula nyama ya paka
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.
Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.
SHUHUDA...
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Auawa kwa kula kitoweo cha nyama India
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Kuna siri gani hati za Muungano?
HATIMAYE serikali imetoka mafichoni na kuamua kuziweka hadharani hati halali za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ndiye ametegua kitendawili hicho juzi jioni Ikulu jijini...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Rais kutibiwa Marekani kuna ubaya gani?
RAIS wangu, ‘inji hii, washa tu babaangu’ kajisemea Lyatonga! Wahenga walisema kunya anye kuku, akinya bata kaharisha! Kuna watu wako hapa, Rais wangu hata ufanye nini kwao hamna jema. Jamani...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
DIRA: Kuna dhambi gani kudai Serikali ya Tanganyika?-2