Kuna siri gani hati za Muungano?
HATIMAYE serikali imetoka mafichoni na kuamua kuziweka hadharani hati halali za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ndiye ametegua kitendawili hicho juzi jioni Ikulu jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s72-c/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s640/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Rais kutibiwa Marekani kuna ubaya gani?
RAIS wangu, ‘inji hii, washa tu babaangu’ kajisemea Lyatonga! Wahenga walisema kunya anye kuku, akinya bata kaharisha! Kuna watu wako hapa, Rais wangu hata ufanye nini kwao hamna jema. Jamani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhpbPnjRrNi2ozD*EnnUV7wbiUnkjLVwImkztBhSRZF6LX5MENX2Ueu1LriPK4dbgspsC8PeG2OBHDRiApOmQ5B/mahaba.jpg?width=650)
ASICHOKIPENDA MPENZI WAKO, KUNA HAJA GANI KUKILAZIMISHA?
NI matumaini yangu kuwa umzima unaendelea vyema na majukumu ya kila siku kama kawaida. Mpenzi msomaji, hakuna kitu kizuri kama wapenzi waliotokea kupendana kwa dhati kuridhiana katika kila jambo. Tufahamu kwamba kutofautiana katika mambo ambayo yanagusa maisha hasa kwa wanandoa ni tatizo linaloweza kusababisha nyufa na furaha kutoweka. Mara kwa mara nimekuwa nikizungumza na watu walio kwenye ndoa, wengi wanaeleza kuwa kuna...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
DIRA: Kuna dhambi gani kudai Serikali ya Tanganyika?-2
>Wiki iliyopita nilijadili katika safu hii kuhusu haja ya kuwa na Serikali ya Tangangika. Ninawashukuru wote walionitumia ujumbe wa simu kuchangia hoja zao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcX5i912h9C2km8F78AsqrO4zI*q2BlQ7z1ZrsGDqrXpM6-7RbPaVI-Bc2Y7Y*oXF95TyFi29aaINMUljUmZH6w4/love.jpg?width=650)
KUNA UBAYA GANI KUFUATILIA NYENDO ZA MPENZI WAKO?
Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini umzima na unaendelea nyema na maandalizi ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya. Mimi namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu na nimuombe tu anijaalie niwe miongoni mwa wale watakaouona mwaka 2015 wakiwa wazima. Mpenzi msomaji wangu, kilio cha wengi walio kwenye uhusiano ni kusalitiwa na wapenzi wao waliotokea...
11 years ago
Mwananchi04 May
Kuna maana gani kupoteza mabilioni haya kwa Katiba?
Bado najiuliza na sipati majibu kwamba, inakuwaje tuteketeze Sh100 bilioni kutengeneza Katiba Mpya ya wananchi inayotokana na maoni ya wananchi wakati watawala walishaweka msimamo wao?
10 years ago
GPL![](http://www.ikulu.go.tz/files/publications/photos/111111.jpg?width=650)
HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?
Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samweli Sita akisalimiana na rais Jakaya Mrisho Kikwete.
MWAKA huu unaingia katika historia ya nchi yetu moja kwa moja pasipo maswali. Tofauti na wakati mwingine, mwaka huu una uwezekano wa kupitisha matukio makubwa mawili, ambayo kwa namna yoyote, yanaweza kuharibu au kuimarisha taifa letu lenye umri wa miaka 50 tangu lipate uhuru wake. Tukio moja tumelizoea...
10 years ago
Vijimambo19 Feb
KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?
![](http://sandiegobargainmama.com/wp-content/uploads/2011/01/aa-couple-valentines-day.jpg)
Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za simu hapo juu naamini suluhisho litapatikana.
Mpenzi msomaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2Df4rMNT7fa5oFwQ5pwLoXFZK703aUYIwYCmJd-R93bRhC*p8irWzGyLtHS7lX*4PgdsweC30NkHG-U13XUg1H/Love.jpg)
KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?
Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu. Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania