ASICHOKIPENDA MPENZI WAKO, KUNA HAJA GANI KUKILAZIMISHA?
![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhpbPnjRrNi2ozD*EnnUV7wbiUnkjLVwImkztBhSRZF6LX5MENX2Ueu1LriPK4dbgspsC8PeG2OBHDRiApOmQ5B/mahaba.jpg?width=650)
NI matumaini yangu kuwa umzima unaendelea vyema na majukumu ya kila siku kama kawaida. Mpenzi msomaji, hakuna kitu kizuri kama wapenzi waliotokea kupendana kwa dhati kuridhiana katika kila jambo. Tufahamu kwamba kutofautiana katika mambo ambayo yanagusa maisha hasa kwa wanandoa ni tatizo linaloweza kusababisha nyufa na furaha kutoweka. Mara kwa mara nimekuwa nikizungumza na watu walio kwenye ndoa, wengi wanaeleza kuwa kuna...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcX5i912h9C2km8F78AsqrO4zI*q2BlQ7z1ZrsGDqrXpM6-7RbPaVI-Bc2Y7Y*oXF95TyFi29aaINMUljUmZH6w4/love.jpg?width=650)
KUNA UBAYA GANI KUFUATILIA NYENDO ZA MPENZI WAKO?
9 years ago
Bongo518 Nov
Je unamwamini mpenzi wako kiasi gani?
![Black-woman-white-man](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Black-woman-white-man-300x194.jpg)
Unamwamini mpenzi wako? Mfano ni huu hapa, Je anaweza kwenda likizo wakati wewe haipo likizo? Je unaweza kumruhusu kutoka na ex wake? Au ikitokea amekutana na ex wake mtaani kwa bahati mbaya na wewe ukiwepo unajisikiaje?
Au unaweza ukamwachia simu yako na usiwe na presha? Hayo maswali yanaweza kukujulisha akilini mwako ni kiasi gani unamwamini mpenzi wako. Kama humwamini mpenzi wako namna utakavyoitikia mambo hayo yanapotokea kuna ishara ambazo zitajulikana wazi kwamba humwamini hata kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH-nKoOnS7*RqszZmfJX1a3POuqT7LHuXWXfpN*9pLz9Uioe3WAwnqyi12jJsLY2QOZVbvMGfgLN1-Xq-oXr-Q1L/2.jpg?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCyhSELz2U3IY-lgBcZm-EQWXPqIjYP9vTAlDpOAjn8JM*FmJ5IrzIW5Xy7p8tfCxX9ZfWgZpPdReGfiK6H-AAU3/xxlv.jpg)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMiQgKPyCedwa*44ERGLabV8-YsikUnNIaMIm0L*1MG0liCYf0vRL8MreV08MK2lse3caBtEA0glAy442AgCGsh/mahaba.gif?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vHG5-bX4LbVa95GsjByp9eIalFdEcex08MnkcVS7hhQtEhspSDBslRHD5*4LBKICQuh6Lgj7OwIh*yLGlCTidh/love.jpg)
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Isha Mashauzi: Kuna haja ya Tamasha la Taarabu nchini
NA FESTO POLEA, BAGAMOYO
BAADA ya kuhudhuria matamasha mbalimbali na kuona faida yake, mwanamuziki wa muziki wa taarabu, Isha Mashauzi, amesema kuna haja ya wadau wa taarabu kuandaa tamasha la muziki huo ili utangazike kimataifa.
“Matamasha ni muhimu, kuna mambo mengi tunajifunza na pia hatuwezi kualikwa waimbaji wote wa taarabu katika matamasha hayo, lakini kama kukiwa na tamasha la taarabu kubwa kama yalivyo matamasha mengine makubwa yanayofanyika nchini itasaidia kututangaza wasanii wake...
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Issa Mashauzi: Kuna haja ya tamasha la taarabu nchini
NA FESTO POLEA, BAGAMOYO
BAADA ya kuhudhuria matamasha mbalimbali na kuona faida yake, mwanamuziki wa muziki wa taarabu, Isha Mashauzi, amesema kuna haja ya wadau wa taarabu kuandaa tamasha la muziki huo ili kuutangaza kimataifa.
“Matamasha ni muhimu, kuna mambo mengi tunajifunza na pia hatuwezi kualikwa waimbaji wote wa taarabu katika matamasha hayo, lakini kama kukiwa na tamasha la taarabu kubwa kama yalivyo matamasha mengine makubwa yanayofanyika nchini itasaidia kututangaza wasanii wake...
10 years ago
Michuzi13 Aug
HOJA YA HAJA: Je kuna nia ya dhati ya kuwaondolea watanzania umaskini?
Tunapoelekea kwenye kipindi hiki cha uchaguzi wagombea urais watarajiwa wanajaribu kuwaeleza watu mambo yenye mvuto kwao na kuonyesha kuwa wataifanya Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali. Nafahamu watatupa ahadi nyingi zaidi wakati wa kampeni.Lakini kinachonisikitisha zaidi ni pale wanasiasa wanaposema wanakerwa na umaskini wa watanzania na nia yao ni kuondoa umaskini.
Lakini hapo hapo anahamasisha maelfu ya vijana na watu wengine kuacha kazi zao kumsindikiza kwenda kuchukua fomu...