Isha Mashauzi: Kuna haja ya Tamasha la Taarabu nchini
NA FESTO POLEA, BAGAMOYO
BAADA ya kuhudhuria matamasha mbalimbali na kuona faida yake, mwanamuziki wa muziki wa taarabu, Isha Mashauzi, amesema kuna haja ya wadau wa taarabu kuandaa tamasha la muziki huo ili utangazike kimataifa.
“Matamasha ni muhimu, kuna mambo mengi tunajifunza na pia hatuwezi kualikwa waimbaji wote wa taarabu katika matamasha hayo, lakini kama kukiwa na tamasha la taarabu kubwa kama yalivyo matamasha mengine makubwa yanayofanyika nchini itasaidia kututangaza wasanii wake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Issa Mashauzi: Kuna haja ya tamasha la taarabu nchini
NA FESTO POLEA, BAGAMOYO
BAADA ya kuhudhuria matamasha mbalimbali na kuona faida yake, mwanamuziki wa muziki wa taarabu, Isha Mashauzi, amesema kuna haja ya wadau wa taarabu kuandaa tamasha la muziki huo ili kuutangaza kimataifa.
“Matamasha ni muhimu, kuna mambo mengi tunajifunza na pia hatuwezi kualikwa waimbaji wote wa taarabu katika matamasha hayo, lakini kama kukiwa na tamasha la taarabu kubwa kama yalivyo matamasha mengine makubwa yanayofanyika nchini itasaidia kututangaza wasanii wake...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aMZYI63gCX4/VP32rRWRhmI/AAAAAAAHJOM/QB8NDRmZXCk/s72-c/press%2Bpic.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k5VvNqLIUZg/VUje_u-nMuI/AAAAAAAHVjA/m59f4Vx7jM0/s72-c/download.jpg)
Isha mashauzi apigwa kabali
![](http://2.bp.blogspot.com/-k5VvNqLIUZg/VUje_u-nMuI/AAAAAAAHVjA/m59f4Vx7jM0/s1600/download.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Isha Mashauzi anapowabeba Yatima
NI wanamuziki wachache wanaotoka katika kundi na kwenda kufanya kazi pekee (Solo Artist) na kufanikiwa, kwani wengi wao huishia kusikojulikana, lakini wenye kujiamini na kujitambua kipaji alicho nacho katika fani...
9 years ago
Bongo509 Dec
Music: Isha Mashauzi – Jiamini
![isha Mashauzi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/isha-Mashauzi-300x194.jpg)
Mwimbaji bora wa kike wa taarab Isha Mashauzi, amezidi kudhihirisha kuwa yuko vizuri hata nje ya taarab baada ya kuachia ngoma yake mpya inaitwa “JIAMINI” iliyoko katika miondoko ya zouk rumba.
Studio za Soft Records chini ya producer Pitchou Mechant,
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL24 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKndiz1lxtCFcTdABqNz5XlDV0n-J3*W4fO7bMLbSzrnW8K0aWS0pGHwUMWD10GeL1MDfFGBtGvRL9-18kzRee7W/isha.jpg)
AL-SHABAAB WAMVAMIA ISHA MASHAUZI KENYA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/pK7sPJHXroY/default.jpg)
9 years ago
Bongo502 Dec
Isha Mashauzi anapenda kufanya kazi na Cassim
![Isha Bomba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Isha-Bomba-300x194.jpg)
Muimbaji wa Taarab, Isha Mashauzi aka ‘Queen of the Best Melodies’ amesema ana hamu ya kumshirikisha muimbaji wa ‘Subira’ Cassim.
Akiongea na Clouds E ya Clouds TV, Isha alisema anakubali utunzi wa muimbaji huyo.
“Wasanii wengi wa Bongo Flava ni wakali lakini kwa mimi ningependa sana kufanya kazi na Cassim Mganga kwani ni msanii ambaye namkubali sana,” alisema.
Hivi karibuni kiongozi huyo wa Mashauzi Classic alizindua albamu yake mpya, ‘Sura Surambi.’
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...