Issa Mashauzi: Kuna haja ya tamasha la taarabu nchini
NA FESTO POLEA, BAGAMOYO
BAADA ya kuhudhuria matamasha mbalimbali na kuona faida yake, mwanamuziki wa muziki wa taarabu, Isha Mashauzi, amesema kuna haja ya wadau wa taarabu kuandaa tamasha la muziki huo ili kuutangaza kimataifa.
“Matamasha ni muhimu, kuna mambo mengi tunajifunza na pia hatuwezi kualikwa waimbaji wote wa taarabu katika matamasha hayo, lakini kama kukiwa na tamasha la taarabu kubwa kama yalivyo matamasha mengine makubwa yanayofanyika nchini itasaidia kututangaza wasanii wake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Isha Mashauzi: Kuna haja ya Tamasha la Taarabu nchini
NA FESTO POLEA, BAGAMOYO
BAADA ya kuhudhuria matamasha mbalimbali na kuona faida yake, mwanamuziki wa muziki wa taarabu, Isha Mashauzi, amesema kuna haja ya wadau wa taarabu kuandaa tamasha la muziki huo ili utangazike kimataifa.
“Matamasha ni muhimu, kuna mambo mengi tunajifunza na pia hatuwezi kualikwa waimbaji wote wa taarabu katika matamasha hayo, lakini kama kukiwa na tamasha la taarabu kubwa kama yalivyo matamasha mengine makubwa yanayofanyika nchini itasaidia kututangaza wasanii wake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhpbPnjRrNi2ozD*EnnUV7wbiUnkjLVwImkztBhSRZF6LX5MENX2Ueu1LriPK4dbgspsC8PeG2OBHDRiApOmQ5B/mahaba.jpg?width=650)
ASICHOKIPENDA MPENZI WAKO, KUNA HAJA GANI KUKILAZIMISHA?
10 years ago
Michuzi13 Aug
HOJA YA HAJA: Je kuna nia ya dhati ya kuwaondolea watanzania umaskini?
Tunapoelekea kwenye kipindi hiki cha uchaguzi wagombea urais watarajiwa wanajaribu kuwaeleza watu mambo yenye mvuto kwao na kuonyesha kuwa wataifanya Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali. Nafahamu watatupa ahadi nyingi zaidi wakati wa kampeni.Lakini kinachonisikitisha zaidi ni pale wanasiasa wanaposema wanakerwa na umaskini wa watanzania na nia yao ni kuondoa umaskini.
Lakini hapo hapo anahamasisha maelfu ya vijana na watu wengine kuacha kazi zao kumsindikiza kwenda kuchukua fomu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nWWDu4q07f8/U0qzoiKfvGI/AAAAAAAFaeo/-lVVkE0AeJA/s72-c/578b05b586da72cb24792c914c30f437+(2).jpg)
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aMZYI63gCX4/VP32rRWRhmI/AAAAAAAHJOM/QB8NDRmZXCk/s72-c/press%2Bpic.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
10 years ago
VijimamboRais Mstaafu asisitiza haja ya kuilinda na kuiendeleza amani ilyopo nchini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vrz0Pzr9qGk/VH82sDWeLuI/AAAAAAAG1B0/1OfI3DkiT5A/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
CHEF ISSA KAPANDE AKARIBISHWA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI SWEDEN
10 years ago
Michuzi23 Jun
jarida la utalii nchini sweden laufagilia mgahawa wa mtanzania chef issa katika mji wa trollhattan
![IMG-20150616-WA0008](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150616-WA0008.jpg)