HOJA YA HAJA: "Tubadili Jiji la Dar es Salaam: Kuna Zaidi ya Mafuriko"
![](http://4.bp.blogspot.com/-nWWDu4q07f8/U0qzoiKfvGI/AAAAAAAFaeo/-lVVkE0AeJA/s72-c/578b05b586da72cb24792c914c30f437+(2).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 May
10 years ago
Michuzi13 Aug
HOJA YA HAJA: Je kuna nia ya dhati ya kuwaondolea watanzania umaskini?
Tunapoelekea kwenye kipindi hiki cha uchaguzi wagombea urais watarajiwa wanajaribu kuwaeleza watu mambo yenye mvuto kwao na kuonyesha kuwa wataifanya Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali. Nafahamu watatupa ahadi nyingi zaidi wakati wa kampeni.Lakini kinachonisikitisha zaidi ni pale wanasiasa wanaposema wanakerwa na umaskini wa watanzania na nia yao ni kuondoa umaskini.
Lakini hapo hapo anahamasisha maelfu ya vijana na watu wengine kuacha kazi zao kumsindikiza kwenda kuchukua fomu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-nLnacAvPdo0/VWSJk0AwHNI/AAAAAAAAUJA/zB5U_alWXEE/s72-c/more%2B%2Bdar%2Bconstituencies.jpg)
JIJI LA DAR ES SALAAM LAPENDEKEZA MAJIMBO MANNE ZAIDI; VIONGOZI WASEMA WATU NI WENGI MNNO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLnacAvPdo0/VWSJk0AwHNI/AAAAAAAAUJA/zB5U_alWXEE/s640/more%2B%2Bdar%2Bconstituencies.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CX32FhnnL8w/UvMZB3Rgs7I/AAAAAAAFLGI/R5DNqZzwJ1M/s72-c/n1.jpg)
Hoja ya haja: Wizi kwenye Maduka ya Nyama Mwenge, Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-CX32FhnnL8w/UvMZB3Rgs7I/AAAAAAAFLGI/R5DNqZzwJ1M/s1600/n1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.
“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
Ankal,
mosi naomba nichukue wasaa huu kukushukuru kwa kazi nzuri ya kutuhabaraisha wana ughaibuni. Unatufikishia habari za nyumbani zinazotufariji tulio mbali na nyumbani. Ankal kabla kuendelea zaidi, napenda niseme machache ya moyoni kutokana na mada nzito ya juzi kutoka kwa kijana wetu mahiri john ,mashaka
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
10 years ago
Michuzi29 Jun
HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU
Ankal pole na hongera kwa kazi nzuri ya kutupatia taarifa mbali mbali zinazo tuhusu watanzania, napenda kutumia nafasi hii kuomba serikali ya Mh Rais Kikwete iliyopewa dhamana na watanzania kuwaonea huruma watanzania kwakuwapunguzia mzigo mzito wa malipo ya kuingia kwenye maonesho ya SABASABA.
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
11 years ago
Michuzi18 Feb
HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI
MIMI NI MTANZANIA...
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...
11 years ago
Michuzi09 Mar
HOJA YA HAJA: kampeni ya kupambana na ukuda Tanzania
Ankal naomba nipe nafasi nitangaze nia yangu ya kuanzisha kampeni ya kupambana na UKUDA hapa Tanzania. Ruksa kunisahihisha bila kuchafua hali ya hewa; ila nielewavyo mimi UKUDA ni hali ya kuwa na roho mbaya, roho ya kwa nini, kukatishana tamaa, na pia kutopenda maendeleo ya wengine - wakati MKUDA mwenyewe akibakia kama alivyo.
Kwa mtazamo huo huo, MKUDA ni mfuasi wa hayo mambo niliyotaja hapo juu. Na ndio kampeni hii itakapoelekezwa, na nitahitaji sana msaada wa mawazo ya wadau wa namna ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania