HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI
MIMI NI MTANZANIA...
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Feb
hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania
Kwa kuanzia na bila kupoteza muda, Watanzania wa ughaibuni tunataka masuala yafuatayo yaingizwe kwenye katiba mpya: · Uraia wa nchi mbili; · Haki ya kurudi Tanzania kwa Watanzania na Watu wenye asili ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s72-c/d9.jpg)
aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...
![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s1600/d9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ksZwlT39rZs/UwT1yk7T80I/AAAAAAAFOFM/xdzv2N_as4s/s1600/d12.jpg)
10 years ago
Michuzi29 Jun
HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
9 years ago
Michuzi04 Sep
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA WATANZANIA NA VIONGOZI WA VYAMA SIASA
Tanzania ya leo ina wananchi...
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
9 years ago
MichuziHoja ya haja: Kasi ya “HAPA NI KAZI TU†ni nzuri, ila itekelezwe kwa tahadhari kubwa
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Vitambulisho tanzania na hoja ya ughaibuni
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-JFIkif7ESkI/VctfmkNeM1I/AAAAAAAD3FY/lyg8RQr8KMA/s72-c/10003511_10202635835951122_1447879570_n.jpg)
KIJIWE CHA UGHAIBUNI NA WADAU TOKA NEW YORK AUGUST 23, SAA 10 JIONI NYUMABANI KWA DR TEMBA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JFIkif7ESkI/VctfmkNeM1I/AAAAAAAD3FY/lyg8RQr8KMA/s640/10003511_10202635835951122_1447879570_n.jpg)