Vitambulisho tanzania na hoja ya ughaibuni
Hivi karibuni baadhi ya wananchi wamelalamikia suala jipya la vitambulisho. Wanadai linakera; eti watu wameuawa. Kuna upendeleo, ugumu na mambo kama hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Feb
HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...
11 years ago
Michuzi18 Feb
hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania
Kwa kuanzia na bila kupoteza muda, Watanzania wa ughaibuni tunataka masuala yafuatayo yaingizwe kwenye katiba mpya: · Uraia wa nchi mbili; · Haki ya kurudi Tanzania kwa Watanzania na Watu wenye asili ya...
11 years ago
Michuzi
aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...


10 years ago
Mtanzania02 Jun
Tanzania mwenyeji wa jukwaa la vitambulisho
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
ZAIDI ya nchi 25 zinakutana nchini katika mkutano wa Jukwaa la Vitambulisho vya Elektroniki Afrika unaotarajia kuanza Dar es Salaam leo.
Mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili changamoto zilizopo katika masuala ya uandikishaji na kutafuta njia za kuzitatua.
Mkutano huo wa kwanza kufanyika katika Afrika unatarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na kuhudhuriwa na zaidi ya washiriki 300 kutoka nje ya...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Tanzania yakataa vitambulisho EAC
SERIKALI ya Tanzania haiko tayari kutumia vitambulisho vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ajili kulinda maslahi ya taifa. Haya yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Jumuiya...
11 years ago
Michuzi21 Oct
PINDA AZINDUA JARIDA LA FIRST LA KUITANGAZA TANZANIA UGHAIBUNI
11 years ago
Mwananchi09 Jul
UGHAIBUNI: Ukarimu wa Tanzania kuhudumia wakimbizi na gharama inazolipa
11 years ago
Dewji Blog22 Oct
Pinda azindua toleo la Jarida la First linaloinadi Tanzania ughaibuni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Jarida la First baada ya kukabidhiwa nakala ya toleo la jarida hilo na Muasisi wake, Rupert Goodman (kulia) kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London , Oktoba 21, 2014. Jarida hilo limesheheni makala zenye kuinadi Tanzania na vivutio vyake nje ya nchi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua toleo la Jarida la First lenye makala mbalimbali za kuinadi Tanzania na Vivutio vyake nje...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mwanamuziki Jhikoman kutoka BAGAMOYO,Tanzania, afanya makubwa ughaibuni