PINDA AZINDUA JARIDA LA FIRST LA KUITANGAZA TANZANIA UGHAIBUNI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwenyekitna Muasisi wa Kampuni ya Invest Africa ya Uingereza, Bw. Robert Hersov kabla ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya Savoy,London Oktoba 20, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Jarida la First baada ya kukabidhiwa nakala ya toleo la jaridai hilo na Muasisi wake, Rupert Goodman (kulia) kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London , Oktoba 21, 2014. Jarida hilo limesheheni makala zenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Pinda azindua toleo la Jarida la First linaloinadi Tanzania ughaibuni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Jarida la First baada ya kukabidhiwa nakala ya toleo la jarida hilo na Muasisi wake, Rupert Goodman (kulia) kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London , Oktoba 21, 2014. Jarida hilo limesheheni makala zenye kuinadi Tanzania na vivutio vyake nje ya nchi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua toleo la Jarida la First lenye makala mbalimbali za kuinadi Tanzania na Vivutio vyake nje...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0e-5euk5OHA/VewZa4bhrEI/AAAAAAAAyrE/-MtEJ7NT_uM/s72-c/AA8A7699.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI MAALUM YA KUITANGAZA TANZANIA NA VIVUTIO VYA UTALII KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0e-5euk5OHA/VewZa4bhrEI/AAAAAAAAyrE/-MtEJ7NT_uM/s640/AA8A7699.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wczjejfcnk0/VewZbbmU6EI/AAAAAAAAyrI/eSdS9IMBtWQ/s640/AA8A7720.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jh6npAKScoA/UuuiLWUHeXI/AAAAAAAFJ8E/bZyTicDb4bk/s72-c/Picha+na+1.jpg)
MH. PINDA AZINDUA RASMI MAPITIO YA MFUMO WA UWEKEZAJI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jh6npAKScoA/UuuiLWUHeXI/AAAAAAAFJ8E/bZyTicDb4bk/s1600/Picha+na+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJZ-SYDvWyo/UuuiL_zsTmI/AAAAAAAFJ8M/y86wvhvD1hk/s1600/Picha+na+2.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AZINDUA JUKWAA LA ARDHI TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O4vVKpzhQVY/VEh8gTpBW5I/AAAAAAAGs2E/oEjTAG6q5RA/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
WAZIRI MKUU AZINDUA JARIDA LA FIRST JIJINI LONDON
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4vVKpzhQVY/VEh8gTpBW5I/AAAAAAAGs2E/oEjTAG6q5RA/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrliQprW8QM/VEh8ghXlHuI/AAAAAAAGs2I/tvSIibWCnFo/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Pinda: Watanzania waishio ughaibuni hawatapiga kura
MWANDISHI WETU, LONDON
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Alisema pamoja na kwamba Watanzania hao wanatakiwa kupiga kura wakati wa uchaguzi huo, jambo hilo halitawezekana kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya uchaguzi huo.
Waziri Mkuu Pinda alitoa kauli hiyo jana kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
MO azindua jarida la IRIS Executive na kusema utajiri hauji “kirahisi rahisi”
Mgeni rasmi Ofisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP Mh. Mohammed Dewji (Mb) ambao ndio wadhamini wakuu wa sherehe za uzinduzi wa jarida la IRIS Executive (katikati), Ofisa Mtendaji Mkuu wa IRIS Executive Development Centre, Phylisiah Mcheni (kulia) na Makamu wa Rais wa MeTL GROUP, Bw. Vipul Kakad wakiwa meza kuu kwenye hafla fupi ya uzinduzi rasmi wa jarida IRS Executive ambalo tolea la jipya ukurasa wa mbele limepambwa na picha ya Mh. Mohammed Dewji “MO”. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog)
Na...
9 years ago
MichuziTUMIENI VYOMBO VYA KIMATAIFA KUITANGAZA TANZANIA - WAZIRI MAGHEMBE
“Kama kweli tunataka kupata watalii wengi zaidi pamoja na mambo mengine ni lazima...