MH. PINDA AZINDUA RASMI MAPITIO YA MFUMO WA UWEKEZAJI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jh6npAKScoA/UuuiLWUHeXI/AAAAAAAFJ8E/bZyTicDb4bk/s72-c/Picha+na+1.jpg)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (kulia) akikata utepe kuzindua ripoti ya hali ya Uwekezaji nchini Tanzania leo jijini Dar es salaam. Pamoja na mambo mengine ripoti hiyo imegusia sera na na maendeleo ya uwekezaji nchini pamoja na changamoto zinazokwamisha ustawi wa uwekezaji Tanzania.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akionyesha vitabu vya ripoti ya Uwekezaji Tanzania kwa wadau mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa ripoti kuhusu hali ya Uwekezaji nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s72-c/657998666.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s1600/657998666.jpg)
Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mpango wa utambuzi wa ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kama ishala ya kuzindua rasmi mpango wa Utambuzi wa ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo, kwa ajili ya kutathimini na kutambua ujuzi na elimu ua ufundi Stadi kwa Vijana waliojifunza fani mbalimbali, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jana Septemba 19, 2014 kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Kazi, na Ajira, Gaudensia Kabaka (kushoto) ni Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-C-WrPsPXTW0/VBwbnFYBzTI/AAAAAAAGkeY/oA15d3kmIjE/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA UTAMBUZI WA UJUZI ULIOPATIKANA NJE YA MFUMO RASMI WA MAFUNZO, JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-WrPsPXTW0/VBwbnFYBzTI/AAAAAAAGkeY/oA15d3kmIjE/s1600/01.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Oct
PINDA AZINDUA JARIDA LA FIRST LA KUITANGAZA TANZANIA UGHAIBUNI
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Pinda azindua toleo la Jarida la First linaloinadi Tanzania ughaibuni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Jarida la First baada ya kukabidhiwa nakala ya toleo la jarida hilo na Muasisi wake, Rupert Goodman (kulia) kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London , Oktoba 21, 2014. Jarida hilo limesheheni makala zenye kuinadi Tanzania na vivutio vyake nje ya nchi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua toleo la Jarida la First lenye makala mbalimbali za kuinadi Tanzania na Vivutio vyake nje...
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AZINDUA JUKWAA LA ARDHI TANZANIA