Tanzania yakataa vitambulisho EAC
SERIKALI ya Tanzania haiko tayari kutumia vitambulisho vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ajili kulinda maslahi ya taifa. Haya yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Jumuiya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Tanzania yakataa rasmi ndoa za jinsia moja kwenye agenda za maendeleo ya milenia
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya...
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Tanzania mwenyeji wa jukwaa la vitambulisho
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
ZAIDI ya nchi 25 zinakutana nchini katika mkutano wa Jukwaa la Vitambulisho vya Elektroniki Afrika unaotarajia kuanza Dar es Salaam leo.
Mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili changamoto zilizopo katika masuala ya uandikishaji na kutafuta njia za kuzitatua.
Mkutano huo wa kwanza kufanyika katika Afrika unatarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na kuhudhuriwa na zaidi ya washiriki 300 kutoka nje ya...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Vitambulisho tanzania na hoja ya ughaibuni
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/0011.jpg)
TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA
11 years ago
AllAfrica.Com20 Mar
Why Tanzania Will Not Embrace EAC
AllAfrica.com
There has been a vigorous debate in the op-ed columns of all major newspapers recently, pitting East African Affairs and Tourism Cabinet Secretary Phyllis Kandie; and an early-Moi-era political heavyweight, former AG Charles Njonjo. The subject has been ...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
CHADEMA yakataa najisi ya JK
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...
11 years ago
TheCitizen03 Jul
Why is Tanzania not EAC’s economic powerhouse?
10 years ago
Habarileo29 Nov
Tanzania yakabidhiwa uenyekiti EAC
TANZANIA jana ilikabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Afrika Mashariki, baada ya Kenya kumaliza muda wake wa mwaka mmoja.
11 years ago
East African Business Week21 Jun
Tanzania grows fastest in EAC
East African Business Week
DAR ES SALAAM, Tanzania – East Africa's second largest economy, Tanzania has recorded the fastest growth in the East Africa Community (EAC) partner states for the period of 2013. Deloitte's Economic Outlook 2014 shows that Tanzania's economy grew ...
Tanzania and Kenya Institutes partner in EA hospitality industryCoastweek
all 2