Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yakataa vitambulisho EAC

SERIKALI ya Tanzania haiko tayari kutumia vitambulisho vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ajili kulinda maslahi ya taifa. Haya yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Jumuiya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yakataa rasmi ndoa za jinsia moja kwenye agenda za maendeleo ya milenia

001

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Tanzania mwenyeji wa jukwaa la vitambulisho

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam

ZAIDI ya nchi 25  zinakutana nchini katika mkutano wa Jukwaa la Vitambulisho vya Elektroniki Afrika unaotarajia kuanza   Dar es Salaam leo.

Mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili changamoto zilizopo katika masuala ya uandikishaji  na kutafuta njia za kuzitatua.

Mkutano huo wa kwanza kufanyika katika   Afrika unatarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,  Mathias Chikawe na kuhudhuriwa na zaidi ya washiriki 300 kutoka nje ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Vitambulisho tanzania na hoja ya ughaibuni

Hivi karibuni baadhi ya wananchi wamelalamikia suala jipya la vitambulisho. Wanadai linakera; eti watu wameuawa. Kuna upendeleo, ugumu na mambo kama hayo.

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA‏

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Programu kutoka Taasisi ya… ...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Why Tanzania Will Not Embrace EAC


Why Tanzania Will Not Embrace EAC
AllAfrica.com
There has been a vigorous debate in the op-ed columns of all major newspapers recently, pitting East African Affairs and Tourism Cabinet Secretary Phyllis Kandie; and an early-Moi-era political heavyweight, former AG Charles Njonjo. The subject has been ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yakataa najisi ya JK

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...

 

11 years ago

TheCitizen

Why is Tanzania not EAC’s economic powerhouse?

Lexicographers tell us an ‘economy’ is the wealth and resources of a given community (such as a nation-state) in terms of the production and consumption of goods and services... and that a ‘powerhouse’ is a power station where electrical power is generated for general distribution...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania yakabidhiwa uenyekiti EAC

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel SittaTANZANIA jana ilikabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Afrika Mashariki, baada ya Kenya kumaliza muda wake wa mwaka mmoja.

 

11 years ago

East African Business Week

Tanzania grows fastest in EAC


Tanzania grows fastest in EAC
East African Business Week
DAR ES SALAAM, Tanzania – East Africa's second largest economy, Tanzania has recorded the fastest growth in the East Africa Community (EAC) partner states for the period of 2013. Deloitte's Economic Outlook 2014 shows that Tanzania's economy grew ...
Tanzania and Kenya Institutes partner in EA hospitality industryCoastweek

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani