Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yakataa najisi ya JK

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema yakataa matokeo ya urais

WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri yakataa mil. 70/- za mwekezaji

MGODI wa almasi wa Elhilal uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, unadaiwa Sh milioni 105 kutokana na kuchelewa kulipa kodi ya ardhi tangu upatiwe hati halali ya umiliki mwaka 2009.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC yakataa msaada wa MONUSCO

Rais wa DRC amesema kuwa jeshi lake halitakubali msaada wowote kutoka kwa kikosi cha jeshi la Umoja wa mataifa Monusco

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yakataa vitambulisho EAC

SERIKALI ya Tanzania haiko tayari kutumia vitambulisho vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ajili kulinda maslahi ya taifa. Haya yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Jumuiya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yakataa katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi. Msimamo huo ulitolewa na Katibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitandao yakataa ubaguzi wa kidini

Mitandao ya Twitter na facebook imekataa kuchapisha mamia ya jumbe za chuki dhidi ya dini ya kiislamu. .

 

11 years ago

Habarileo

Tanesco yakataa umeme wa bei kubwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim MaswiSHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yakataa kusajili 'maproo'

Wakati timu nyingine zikijizatiti kuimarisha vikosi vyao kwa kufanya usajili nje ya nchi, imekuwa tofauti kwa kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime, ameweka wazi kuwa hana mpango na wachezaji wa nje ya Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani