CHADEMA yakataa najisi ya JK
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Oct
Chadema yakataa matokeo ya urais
WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.
10 years ago
Habarileo12 Apr
Halmashauri yakataa mil. 70/- za mwekezaji
MGODI wa almasi wa Elhilal uliopo Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, unadaiwa Sh milioni 105 kutokana na kuchelewa kulipa kodi ya ardhi tangu upatiwe hati halali ya umiliki mwaka 2009.
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
DRC yakataa msaada wa MONUSCO
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Tanzania yakataa vitambulisho EAC
SERIKALI ya Tanzania haiko tayari kutumia vitambulisho vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ajili kulinda maslahi ya taifa. Haya yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Jumuiya...
11 years ago
GPL
11 years ago
Tanzania Daima11 May
CCM yakataa katiba mpya
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi. Msimamo huo ulitolewa na Katibu...
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Mitandao yakataa ubaguzi wa kidini
11 years ago
Habarileo26 Aug
Tanesco yakataa umeme wa bei kubwa
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mtibwa Sugar yakataa kusajili 'maproo'