Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DRC yakataa msaada wa MONUSCO

Rais wa DRC amesema kuwa jeshi lake halitakubali msaada wowote kutoka kwa kikosi cha jeshi la Umoja wa mataifa Monusco

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO ZAIDI NA MAMLAKA ZA DRC

 Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC  Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya  Baraza  Kuu la  Usalama  la Umoja wa  Mataifa siku ya  Jumanne kuhusu  mchakato wa  uchaguzi mkuu, hali ya   usalama na  mkakati wa kupunguza  walinzi wa amani. na   Kueleza kwamba utekelezaji  wa mamlaka ya MONUSCO  unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na  mamlaka za DRCMwenyekiti wa  Kamati ya  Vikwanzo dhidi ya  Jamhuri ya  Kidemokrasia ya Kongo,   Dina Kawar akiwasilisha...

 

10 years ago

GPL

DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI

Wanajeshi wa kulinda amini wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wasiopungua wawili wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa baada ya msafara wao kushambuliwa na waasi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ...wakifanya doria. Kikosi cha wanajeshi wa Tanzania kilishambuliwa jana huku wanajeshi wanne wakiwa hawajulikani walipo. Hayo yameelezwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO WA KARIBU ZAIDI NA DRC


Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu, hali ya usalama na mkakati wa kupunguza walinzi wa amani. na Kueleza kwamba utekelezaji wa mamlaka ya MONUSCO unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na mamlaka za DRC
Mwenyekiti wa Kamati ya Vikwanzo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dina Kawar akiwasilisha...

 

11 years ago

Habarileo

DRC,Tanzania wataka msaada kunusuru Z'Tanganyika

SERIKALI ya Tanzania na ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetaka Jumuiya ya Kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo kutekeleza mradi unaohusisha ujenzi wa ukuta katika mto Lukuga ambao ndiyo pekee unaotoa maji kutoka Ziwa Tanganyika.

 

10 years ago

Dewji Blog

Security Council Press Statement on MONUSCO peacekeepers

MONUSCO_peacekeepers_-_Last_line_of_defense_near_Goma._Photo_MONUSCO_(8229506972)

The members of the Security Council condemned in the strongest terms the attack against United Nations Organization Stabilization Mission in the Democratic Republic of the Congo (MONUSCO) peacekeepers in Beni territory on 5 May 2015, in which two Tanzanian peacekeepers were killed and others injured.

The members of the Security Council expressed their deepest condolences to the families of the peacekeepers killed, as well as to the Government and people of Tanzania, and to MONUSCO. The...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yakataa najisi ya JK

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yakataa vitambulisho EAC

SERIKALI ya Tanzania haiko tayari kutumia vitambulisho vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa ajili kulinda maslahi ya taifa. Haya yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Jumuiya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitandao yakataa ubaguzi wa kidini

Mitandao ya Twitter na facebook imekataa kuchapisha mamia ya jumbe za chuki dhidi ya dini ya kiislamu. .

 

9 years ago

Habarileo

Chadema yakataa matokeo ya urais

WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani