Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO ZAIDI NA MAMLAKA ZA DRC

 Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC  Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya  Baraza  Kuu la  Usalama  la Umoja wa  Mataifa siku ya  Jumanne kuhusu  mchakato wa  uchaguzi mkuu, hali ya   usalama na  mkakati wa kupunguza  walinzi wa amani. na   Kueleza kwamba utekelezaji  wa mamlaka ya MONUSCO  unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na  mamlaka za DRCMwenyekiti wa  Kamati ya  Vikwanzo dhidi ya  Jamhuri ya  Kidemokrasia ya Kongo,   Dina Kawar akiwasilisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO WA KARIBU ZAIDI NA DRC


Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu, hali ya usalama na mkakati wa kupunguza walinzi wa amani. na Kueleza kwamba utekelezaji wa mamlaka ya MONUSCO unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na mamlaka za DRC
Mwenyekiti wa Kamati ya Vikwanzo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dina Kawar akiwasilisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC yakataa msaada wa MONUSCO

Rais wa DRC amesema kuwa jeshi lake halitakubali msaada wowote kutoka kwa kikosi cha jeshi la Umoja wa mataifa Monusco

 

10 years ago

GPL

DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI

Wanajeshi wa kulinda amini wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wasiopungua wawili wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa baada ya msafara wao kushambuliwa na waasi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ...wakifanya doria. Kikosi cha wanajeshi wa Tanzania kilishambuliwa jana huku wanajeshi wanne wakiwa hawajulikani walipo. Hayo yameelezwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamlaka ya Nepal yaomba usaidizi zaidi

Mamlaka ya Nepal imeomba msaada zaidi wa helikopta kutoka kwa mataifa ya kigeni

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamaji 11 zaidi wakamatwa DRC

Watu 11 wameshikwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo walipokua wakijiandaa kuandamana kupinga kukamatwa kwa wanaharakati.

 

10 years ago

Habarileo

Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC

Kaimu Msemaji wa jeshi hilo, Meja Joseph MasanjaJESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya abiria 100 wazama DRC

Taarifa zasema watu zaidi ya watu mia wafa maji Congo katika Ziwa Tanganyika

 

10 years ago

Vijimambo

BAN KI MOON ATAKA USHIRIKIANO ZAIDI BAINA YA UN NA AU

Katibu Mkuu Umoja wa Mataiifa Ban Ki Moon
Na  Mwandishi Maalum, New York

Katibu Mkuu wa Umoja wa  Mataifa  Ban Ki Moon,  amesema, ushirikiano  kati ya Umoja wa Mataifa na  Umoja wa Afrika katika operesheni za ulinzi wa Amani  umekuwa  wa  mafanikio makubwa katika urejeshwaji wa hali ya amani na utulivu katika maeneo yenye  migogoro.

Hata hivyo  amesema pamoja na mafanikio hayo kuna  umuhimu wa ushirikiano huo kuboreshwa zaidi na kuwa wenye tija .

Alikuwa akizungumza  wakati wa majadiliano ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Dr. Agnes Kijazi, TMA Director General and Permanent Representative of Tanzania with the World Meteorological Organization (WMO) and Dr. Rob Varley, the UK Met Office Chief Executive Officer and Permanent Representative of UK with WMO signed a memorandum of understanding for a joint project in support of Climate Service Development in Tanzania. The signing ceremony was witnessed by Dr. Ladislaus Chang’a, TMA Director of Research and Applied Meteorology and Ms. Jane Wardley from the UK Met...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani