MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO ZAIDI NA MAMLAKA ZA DRC
![](http://2.bp.blogspot.com/-PoOaSIK8e0g/VaWUzTfLEII/AAAAAAAHpzI/dYb5GSaYDl4/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu, hali ya usalama na mkakati wa kupunguza walinzi wa amani. na Kueleza kwamba utekelezaji wa mamlaka ya MONUSCO unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na mamlaka za DRC
Mwenyekiti wa Kamati ya Vikwanzo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dina Kawar akiwasilisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DgMGPA7ccBE/VaWzFcCN5gI/AAAAAAADx4M/nOuklPcI-GU/s72-c/638078.jpg)
MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO WA KARIBU ZAIDI NA DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-DgMGPA7ccBE/VaWzFcCN5gI/AAAAAAADx4M/nOuklPcI-GU/s640/638078.jpg)
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu, hali ya usalama na mkakati wa kupunguza walinzi wa amani. na Kueleza kwamba utekelezaji wa mamlaka ya MONUSCO unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na mamlaka za DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-z2YalJATzwk/VaWzEKn9j0I/AAAAAAADx4I/nWu24rvIXf4/s640/638068.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Vikwanzo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dina Kawar akiwasilisha...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
DRC yakataa msaada wa MONUSCO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTHJL9H8*wz4F*-5Y39as3bqQeRw8e2poOyWWLuuqxTQq8Hy0QWehyYydoW2N4G14ehRqrAFTZ3RdFVo-GyASz1d/ob_a84576_monuscotz.png.jpg?width=650)
DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI
10 years ago
BBCSwahili01 May
Mamlaka ya Nepal yaomba usaidizi zaidi
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Waandamaji 11 zaidi wakamatwa DRC
10 years ago
Habarileo08 May
Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
10 years ago
BBCSwahili14 Dec
Zaidi ya abiria 100 wazama DRC
10 years ago
Vijimambo17 Dec
BAN KI MOON ATAKA USHIRIKIANO ZAIDI BAINA YA UN NA AU
![](http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/05/ban-sg-4.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon, amesema, ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika operesheni za ulinzi wa Amani umekuwa wa mafanikio makubwa katika urejeshwaji wa hali ya amani na utulivu katika maeneo yenye migogoro.Hata hivyo amesema pamoja na mafanikio hayo kuna umuhimu wa ushirikiano huo kuboreshwa zaidi na kuwa wenye tija .Alikuwa akizungumza wakati wa majadiliano ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)