Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamaji 11 zaidi wakamatwa DRC

Watu 11 wameshikwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo walipokua wakijiandaa kuandamana kupinga kukamatwa kwa wanaharakati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa zaidi wakamatwa Tunisia

Afisa wa serikali ya amesema washukiwa 12 wamekamatwa kwa kuhusika na shambulio la Sousse

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya vijana 500 wakamatwa Tanzania

Zaidi ya Vijana 500 wamekamatwa wakihusishwa na vitendo vya uhalifu kwa makundi jijini Dar es Salaam

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino:Zaidi ya waganga 200 wakamatwa TZ

Zaidi ya waganga 200 wa kienyeji wamekamatwa nchini Tanzania katika juhudi za kusitisha mauaji ya Albino.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya

Serikali ya Kenya imesema kwa sasa inawashikilia zaidi ya watu elfu nne kufuatia operesheni usalama mjini Nairobi

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya abiria 100 wazama DRC

Taarifa zasema watu zaidi ya watu mia wafa maji Congo katika Ziwa Tanganyika

 

10 years ago

Habarileo

Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC

Kaimu Msemaji wa jeshi hilo, Meja Joseph MasanjaJESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

 

10 years ago

Michuzi

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO ZAIDI NA MAMLAKA ZA DRC

 Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC  Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya  Baraza  Kuu la  Usalama  la Umoja wa  Mataifa siku ya  Jumanne kuhusu  mchakato wa  uchaguzi mkuu, hali ya   usalama na  mkakati wa kupunguza  walinzi wa amani. na   Kueleza kwamba utekelezaji  wa mamlaka ya MONUSCO  unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na  mamlaka za DRCMwenyekiti wa  Kamati ya  Vikwanzo dhidi ya  Jamhuri ya  Kidemokrasia ya Kongo,   Dina Kawar akiwasilisha...

 

10 years ago

Vijimambo

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO WA KARIBU ZAIDI NA DRC


Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu, hali ya usalama na mkakati wa kupunguza walinzi wa amani. na Kueleza kwamba utekelezaji wa mamlaka ya MONUSCO unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na mamlaka za DRC
Mwenyekiti wa Kamati ya Vikwanzo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dina Kawar akiwasilisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani