Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya abiria 100 wazama DRC

Taarifa zasema watu zaidi ya watu mia wafa maji Congo katika Ziwa Tanganyika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 20 zaidi wazama Mediterenian

Shirika la IOM lasema limepokea ujumbe wa dharura kutoka kwa meli iliyokuwa ikizama na wahamiaji 300 katika bahari ya Mediterranean

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 400 wazama na Meli China

Zaidi ya Watu 400 wamezama katika mto Yangtze kusini mwa nchi ya China

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamaji 11 zaidi wakamatwa DRC

Watu 11 wameshikwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo walipokua wakijiandaa kuandamana kupinga kukamatwa kwa wanaharakati.

 

10 years ago

Habarileo

Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC

Kaimu Msemaji wa jeshi hilo, Meja Joseph MasanjaJESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

 

10 years ago

Michuzi

Abiria zaidi ya 200 wakwama lukuledi asubuhi hii

Abiria wanaosafiri kutoka Nachingwea kwenda Dar kupitia masasi,wamekwama asubuhi hii katika eneo la kijiji cha Lukuledi kilichopo katika mpaka wa wilaya za Nachingwea na Masasi,baada ya Lori la mizigo kukwama kutokana na matengenezo ya daraja katika kijiji hicho,hali hiyo ilimepelea baadhi ya mabasi kurudi na kupitia njia ya mzunguko hadi Ndanda kurudi Masasi.Picha na Abdulaziz Video wa Globu ya Jamii,Lindi.Kibao cha Mkandarasi wa Daraja hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fastjet yabeba abiria zaidi ya 30,000 kwa mwezi

KAMPUNI ya ndege ya Fastjet imesema Desemba mwaka jana ilibeba abiria 37,458, ikiwa ni idadi kubwa kwa mwezi mmoja, hivyo kwa mwaka huu imeazimia kuendelea kutoa huduma bora. Akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO ZAIDI NA MAMLAKA ZA DRC

 Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC  Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya  Baraza  Kuu la  Usalama  la Umoja wa  Mataifa siku ya  Jumanne kuhusu  mchakato wa  uchaguzi mkuu, hali ya   usalama na  mkakati wa kupunguza  walinzi wa amani. na   Kueleza kwamba utekelezaji  wa mamlaka ya MONUSCO  unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na  mamlaka za DRCMwenyekiti wa  Kamati ya  Vikwanzo dhidi ya  Jamhuri ya  Kidemokrasia ya Kongo,   Dina Kawar akiwasilisha...

 

10 years ago

Vijimambo

MONUSCO YAHITAJI USHIRIKIANO WA KARIBU ZAIDI NA DRC


Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Bw. Martin Kobler akiwasilisha taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu, hali ya usalama na mkakati wa kupunguza walinzi wa amani. na Kueleza kwamba utekelezaji wa mamlaka ya MONUSCO unahitaji ushirikiano endelevu kati yake na mamlaka za DRC
Mwenyekiti wa Kamati ya Vikwanzo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dina Kawar akiwasilisha...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: ZAIDI YA ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO AJALI YA BASI

Zaidi ya abiria 50 wamenusurika kifo eneo la mlima nyoka mkoani Mbeya baada ya Basi la Mbukio Mission lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Dsm kugongana na Lori .Habari kamili tutawaletea kwenye blog yetu ya mbeya yetu sasa tupo kwenye tukio.Kwa hisani ya MbeyaYetu Blog.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani