Abiria zaidi ya 200 wakwama lukuledi asubuhi hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuz5ugaKsmE/VMyTJl1RLcI/AAAAAAAHAeY/f10f8kqpthY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Abiria wanaosafiri kutoka Nachingwea kwenda Dar kupitia masasi,wamekwama asubuhi hii katika eneo la kijiji cha Lukuledi kilichopo katika mpaka wa wilaya za Nachingwea na Masasi,baada ya Lori la mizigo kukwama kutokana na matengenezo ya daraja katika kijiji hicho,hali hiyo ilimepelea baadhi ya mabasi kurudi na kupitia njia ya mzunguko hadi Ndanda kurudi Masasi.Picha na Abdulaziz Video wa Globu ya Jamii,Lindi.
Kibao cha Mkandarasi wa Daraja hilo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogNDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Abiria wakwama Ruvu
MAELFU ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka jijini Dar es Salaam na wengine wakitokea mikoani wamekwama kutokana na daraja la Mto Ruvu lililopo wilayani Kibaha, Pwani kujaa maji kutokana na mvua...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Abiria miamoja wakwama:ATC
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Abiria wa treni wakwama Manyoni
ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Maelfu ya abiria wakwama Ubungo
10 years ago
Vijimambo30 Dec
ABIRIA MIAMOJA WAKWAMA ATC
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PkisCQyyIQ%2FVKHPWSFhQEI%2FAAAAAAADTGE%2F9mdgQcfJu30%2Fs1600%2Ff0b4Air-Tanzania.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Abiria hao imebidi wakodiwe hoteli ilivyo ada wakisubiri muafaka wa namna watakavyosafiri kuelekea Comoro. Sharifu Hashim, Balozi wa heshima wa Comoro huko Chicago nchini Marekani, anasema mambo yake mengi yamekwama kutokana na tukio hili na...
11 years ago
Mwananchi10 May
Abiria 2,000 wakwama Lindi
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Abiria wakwama barabarani kwa saa 48 Kenya
10 years ago
GPLKISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA