Abiria wakwama Ruvu
MAELFU ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka jijini Dar es Salaam na wengine wakitokea mikoani wamekwama kutokana na daraja la Mto Ruvu lililopo wilayani Kibaha, Pwani kujaa maji kutokana na mvua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Abiria miamoja wakwama:ATC
Zaidi ya abiria mia moja wa ndege ya ATC wamekwama nchini Tanzania, baada ya safari zao kuarishwa.
10 years ago
Vijimambo30 Dec
ABIRIA MIAMOJA WAKWAMA ATC
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PkisCQyyIQ%2FVKHPWSFhQEI%2FAAAAAAADTGE%2F9mdgQcfJu30%2Fs1600%2Ff0b4Air-Tanzania.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Abiria hao imebidi wakodiwe hoteli ilivyo ada wakisubiri muafaka wa namna watakavyosafiri kuelekea Comoro. Sharifu Hashim, Balozi wa heshima wa Comoro huko Chicago nchini Marekani, anasema mambo yake mengi yamekwama kutokana na tukio hili na...
11 years ago
Mwananchi10 May
Abiria 2,000 wakwama Lindi
>Zaidi ya abiria 2,000 wanaofanya safari kutoka Dar es salamu kwenda mikoani ya Lindi, Mtwara, na Ruvuma waliokuwa wamekwama njiani kwa siku tano mfululizo katika eneo la Marendengo wilayani Kilwa baada ya barabara kuzolewa na maji wameendelea na safari.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Maelfu ya abiria wakwama Ubungo
Uharibifu wa barabara uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha, umeendelea kuwatesa wakazi wa Dar es Salaam na mikoa mbalimbali nchini hasa baada ya mabasi ya mikoani kuzuiwa kufanya safari zake jana.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Abiria wa treni wakwama Manyoni
ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Abiria wakwama barabarani kwa saa 48 Kenya
Barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa jimbo hilo kwa kuwa inaunganisha bandari ya Mombasa na mataifa yasiokuwa na Bandari.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cuz5ugaKsmE/VMyTJl1RLcI/AAAAAAAHAeY/f10f8kqpthY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Abiria zaidi ya 200 wakwama lukuledi asubuhi hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuz5ugaKsmE/VMyTJl1RLcI/AAAAAAAHAeY/f10f8kqpthY/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q02O6Rj5IBE/VMyTLJVAQnI/AAAAAAAHAeo/tfqmzKMj8dY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fUFGbeZjgX0/VMyTJqQLWPI/AAAAAAAHAec/KRTBmDWsxoo/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
GPLKISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA
Baadhi ya abiria wakiwa wamekwama kwenye Stendi Kuu ya Mabasi, Nyegezi jijini Mwanza leo. ...Abiria wakijaribu kutafuta suluhisho la usafiri baada ya mabasi kuchelewa kufika eneo hilo huku idadi ya wasafiri ikiwa kubwa.…
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Abiria 900 wakwama Dar baada ya treni ya mzigo kupata ajali
Watu zaidi ya 900 wamekwama katika stesheni ya Pugu jijini Dar es Salaam tangu jana usiku baada ya treni ya mizigo kuangusha mabehewa na kuzuia njia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania