Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abiria wakwama barabarani kwa saa 48 Kenya

Barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa jimbo hilo kwa kuwa inaunganisha bandari ya Mombasa na mataifa yasiokuwa na Bandari.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wakwama Ruvu

MAELFU ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka jijini Dar es Salaam na wengine wakitokea mikoani wamekwama kutokana na daraja la Mto Ruvu lililopo wilayani Kibaha, Pwani kujaa maji kutokana na mvua...

 

11 years ago

Mwananchi

Abiria 2,000 wakwama Lindi

>Zaidi ya abiria 2,000 wanaofanya safari kutoka Dar es salamu kwenda mikoani ya Lindi, Mtwara, na Ruvuma waliokuwa wamekwama njiani  kwa siku tano mfululizo katika eneo la Marendengo wilayani Kilwa baada ya barabara kuzolewa na maji wameendelea na safari.

 

10 years ago

Vijimambo

ABIRIA MIAMOJA WAKWAMA ATC

Zaidi ya abiria mia moja wa ndege ya ATC wamekwama nchini Tanzania, baada ya safari zao kuarishwa. Wengi wao wakielekea nchini Comoros na wengine wakiwa katika safari za ndani, kuelekea Mtwara na Kigoma wamekwama kwa siku mbili mjini Dar es salaam.
Abiria hao imebidi wakodiwe hoteli ilivyo ada wakisubiri muafaka wa namna watakavyosafiri kuelekea Comoro. Sharifu Hashim, Balozi wa heshima wa Comoro huko Chicago nchini Marekani, anasema mambo yake mengi yamekwama kutokana na tukio hili na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wa treni wakwama Manyoni

ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Abiria miamoja wakwama:ATC

Zaidi ya abiria mia moja wa ndege ya ATC wamekwama nchini Tanzania, baada ya safari zao kuarishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Maelfu ya abiria wakwama Ubungo

Uharibifu wa barabara uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha, umeendelea kuwatesa wakazi wa Dar es Salaam na mikoa mbalimbali nchini hasa baada ya mabasi ya mikoani kuzuiwa kufanya safari zake jana.

 

10 years ago

Michuzi

Abiria zaidi ya 200 wakwama lukuledi asubuhi hii

Abiria wanaosafiri kutoka Nachingwea kwenda Dar kupitia masasi,wamekwama asubuhi hii katika eneo la kijiji cha Lukuledi kilichopo katika mpaka wa wilaya za Nachingwea na Masasi,baada ya Lori la mizigo kukwama kutokana na matengenezo ya daraja katika kijiji hicho,hali hiyo ilimepelea baadhi ya mabasi kurudi na kupitia njia ya mzunguko hadi Ndanda kurudi Masasi.Picha na Abdulaziz Video wa Globu ya Jamii,Lindi.Kibao cha Mkandarasi wa Daraja hilo.

 

10 years ago

GPL

KISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA

Baadhi ya abiria wakiwa wamekwama kwenye Stendi Kuu ya Mabasi, Nyegezi jijini Mwanza leo. ...Abiria wakijaribu kutafuta suluhisho la usafiri baada ya mabasi kuchelewa kufika eneo hilo huku idadi ya wasafiri ikiwa kubwa.…

 

9 years ago

Mwananchi

Abiria 900 wakwama Dar baada ya treni ya mzigo kupata ajali

Watu zaidi ya 900 wamekwama katika stesheni ya Pugu jijini Dar es Salaam tangu jana usiku baada ya treni ya mizigo kuangusha mabehewa na kuzuia njia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani