Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
20 wajeruhiwa kwenye ghasia DRC
10 years ago
Mtanzania08 May
JWTZ walivyouawa DRC Kongo
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeeleza jinsi askari wake wawili wanauonda Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSCO) kinacholinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), walivyouawa na wengine 16 kujeruhiwa na waasi wanaodhaniwa ni wa Allied Democratic Force (ADC).
Msemaji wa JWTZ, Meja Joseph Masanja, alisema jana kuwa askari wawili ambao mwanzo walidaiwa kutoweka msafara wao uliposhambuliwa sasa wamekwisha kuungana na wenzao.
Alisema...
10 years ago
Mwananchi07 May
Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
10 years ago
Vijimambo14 Nov
JWTZ YAFAFANUA KILICHOTOKEA BENI, MASHARIKI MWA DRC
![](https://3.bp.blogspot.com/-puWaxTe_WrA/VGSyTPTj0pI/AAAAAAAANDc/0dfj2Vbh6gg/s320/masanja-JWTZ.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 May
JWTZ kuwataja waliouawa DRC miili yao itakapowasili nyumbani
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Zaidi ya 500 wajeruhiwa na moto Taiwan
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s72-c/20141122_165254.jpg)
WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA AJALI YA COSTA SENJELE MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s640/20141122_165254.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jKkkds1jA_U/VHIYwiWd5VI/AAAAAAAAxbs/CftCvq6ahPY/s640/20141122_165300.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_jbDc85nu2E/VHIYwDsflXI/AAAAAAAAxbk/BXHvjUWMYIs/s640/20141122_165321.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ccz89qkIlJg/VHIY1AdZ7aI/AAAAAAAAxcE/N9MuIFcTjlI/s640/20141122_165332.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo.Picha na Mbeya yetu
![](http://1.bp.blogspot.com/-wwqsYY7lXg4/VHIY0CeLF_I/AAAAAAAAxb8/bsULvDkK8aQ/s640/20141122_165513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-uM4qV5nEI/VHIY4_EAAgI/AAAAAAAAxcY/aPlSeSvtKrs/s640/20141122_165546.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mw6Y1CMV0r4/VHIY6P_xhdI/AAAAAAAAxck/oXvQuuyWmkM/s640/20141122_165610.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4ShreRDbK4/VHIY3hoi2aI/AAAAAAAAxcM/h8YAFtabeQ8/s640/20141122_165539.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yK_fM6K6QSE/VHIY-EBmO4I/AAAAAAAAxc0/HH_Ys7tfeLA/s640/20141122_165633.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bFQ59aJ5BWY/VHIY_p2XQ7I/AAAAAAAAxc8/pXPwwV9EkWA/s640/20141122_165729.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yMEgzzi3xKU/VHIY_zvnvJI/AAAAAAAAxdA/PaCYx-gDqCg/s640/20141122_165806.jpg)
Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jzlWGQxDbT0/VHIZAINumEI/AAAAAAAAxdE/lxIhlhVYIGo/s640/20141122_165755.jpg)
Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qfj9Esq_tRw/VHIZN5W2rNI/AAAAAAAAxd8/cZqJu25HMBI/s640/20141122_173032.jpg)
Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya...
11 years ago
Michuzi23 Apr
NEWS ALERT: ZAIDI ya abiria 40 Wajeruhiwa ajalini mkoano Kilimanjaro jioni ya leo
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,inaeleza kwamba ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10 jioni jirani kabisa na kituo cha mafuta kilichopo kando ya barabara ya Moshi-Arusha wakati magari hayo yakijiandaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bGr1KIgJi4/VTfR8zRXf0I/AAAAAAAHSmA/wHU8MN9jFSE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CG4w-P4hD20/VTfR-N6C-3I/AAAAAAAHSmM/o4Z-1NVjGTQ/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
CHANZO: MICHUZI BLOG