JWTZ walivyouawa DRC Kongo
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeeleza jinsi askari wake wawili wanauonda Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSCO) kinacholinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), walivyouawa na wengine 16 kujeruhiwa na waasi wanaodhaniwa ni wa Allied Democratic Force (ADC).
Msemaji wa JWTZ, Meja Joseph Masanja, alisema jana kuwa askari wawili ambao mwanzo walidaiwa kutoweka msafara wao uliposhambuliwa sasa wamekwisha kuungana na wenzao.
Alisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Watatu JWTZ wafa ajalini Kongo
WANAJESHI watatu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wanaolinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) chini ya Umoja wa Mataifa, wanadaiwa kufariki dunia baada ya gari walilokuwa...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
10 years ago
Michuzi02 Nov
10 years ago
Habarileo08 May
Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
10 years ago
Mwananchi07 May
Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
10 years ago
Vijimambo14 Nov
JWTZ YAFAFANUA KILICHOTOKEA BENI, MASHARIKI MWA DRC
![](https://3.bp.blogspot.com/-puWaxTe_WrA/VGSyTPTj0pI/AAAAAAAANDc/0dfj2Vbh6gg/s320/masanja-JWTZ.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 May
JWTZ kuwataja waliouawa DRC miili yao itakapowasili nyumbani
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Ulimwengu afanya mauaji Kongo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayechezea timu ya TP Mazembe (DRC), Thomas Ulimwengu, juzi amefanya makubwa baada ya kufunga mabao mawili yaliyoisaidia timu yake kuwafunga watani wao, FC Lupopo 4-1.
Timu hizo kila zinapochuana zimekuwa zikionyesha upinzani mkubwa, hasa kutokana na uhasama mkubwa waliokuwa nao kama zilivyo timu za Simba na Yanga kwa Tanzania.
Ulimwengu ‘Rambo’ aliyekuwa kwenye kiwango bora, alifanya mauaji hayo katika mashindano...
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Tanzania, Kongo kufanya kongamano la pamoja
TANZANIA kwa kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinatarajiwa kufanya kongamano la pamoja la kibiashara kujadili ongezeko la biashara na fursa za uwekezaji na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika kuchunguza fursa mbalimbali za kiuchumi.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, mratibu wa kongamano hilo, Anna Msonsa alisema kuwa kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Septemba 22 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa FEC jijini Lubumbashi, Kongo huku likiwa na...