Tanzania, Kongo kufanya kongamano la pamoja
TANZANIA kwa kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinatarajiwa kufanya kongamano la pamoja la kibiashara kujadili ongezeko la biashara na fursa za uwekezaji na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika kuchunguza fursa mbalimbali za kiuchumi.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, mratibu wa kongamano hilo, Anna Msonsa alisema kuwa kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Septemba 22 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa FEC jijini Lubumbashi, Kongo huku likiwa na...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
NIMRI KUFANYA KONGAMANO LA SAYANSI LA 29 KUANZIA OKTOBA 13-15, 2015


TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu inapenda kutoa taarifa kuwa itafanya Kongamano lake la...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Kidato cha kwanza kufanya udahili wa pamoja
SERIKALI imesema ina mpango wa kuanzisha udahili wa pamoja wa wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaotarajiwa kujiunga na shule za sekondari za serikali na binafsi. Msemaji wa Wizara ya Elimu...
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la mafunzo ya pamoja kwa mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania, Lennarth Hjelmaker, wakati alipowasili kwenye Taasisi ya ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kimataifa la Mafunzo ya pamoja kwa Mabadiliko ya Kisayansi na Teknolojia, yaliyoanza leo jijini Arusha. Mafunzo hayo yameshirikisha washiriki kutoka Nchi 14 za Afrika na washiriki kutoka Vyuo 15 vya...
11 years ago
Bongo509 Jul
Lil Wayne na Drake kufanya tour ya ushindani pamoja
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Tundaman,Matonya wamaliza ‘bifu’,kufanya ngoma pamoja.
Ndipo Husna alipomuuliza kuwa kama akitokea Matonya kwa muda huo...
9 years ago
Bongo520 Nov
Z Anto kufanya kazi na management mbili kwa pamoja

Z Anto amesema huenda akafanya kazi na management mbili katika huu ujio wake mpya.
Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi yupo kwenye mazungumzo na management hizo ambazo zinataka kufanya naye kazi pamoja.
“Mimi kazi zangu zitaanda kutoka December, video na audio,” asema. “Pia nipo kwenye mazungumzo na management mpya sio ya Babu Tale, lakini kwa sababu tupo kwenye mazungumzo na zote zinaonesha nia ya kufanya kazi na mimi, sioni tatizo la kuwa na management mbili kwa wakati mmoja....
10 years ago
Bongo527 Oct
Kanye West kufanya wimbo wa pamoja na mkewe Kim Kardashian?
10 years ago
GPLCHADEMA KUFANYA KONGAMANO LA WAZEE HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO, DAR LEO