Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Z Anto kufanya kazi na management mbili kwa pamoja

Z Anto

Z Anto amesema huenda akafanya kazi na management mbili katika huu ujio wake mpya.

Z Anto

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi yupo kwenye mazungumzo na management hizo ambazo zinataka kufanya naye kazi pamoja.

“Mimi kazi zangu zitaanda kutoka December, video na audio,” asema. “Pia nipo kwenye mazungumzo na management mpya sio ya Babu Tale, lakini kwa sababu tupo kwenye mazungumzo na zote zinaonesha nia ya kufanya kazi na mimi, sioni tatizo la kuwa na management mbili kwa wakati mmoja....

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Babu Tale adai anatamani kufanya kazi tena na Z Anto

Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amesema miongoni mwa wasanii wake wa zamani anaotamani kufanya nao kazi tena, ni Z Anto. Tale amesema Z Anto ni msanii mwenye heshima na kipaji. “Natamani nifanye naye tena kazi Z Anto,” Tale alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Z Anto ana heshima, anaweza kazi. […]

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

11 years ago

CloudsFM

ALLY KIBA AILAUMU ‘MANAGEMENT’ YAKE YA ZAMANI KWA KUM-HARIBIA KAZI

STAA wa Bongo Fleva,Ally Kiba real baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu, wiki iliyopita aliachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Pita Mbele’ aliyofanya na ndugu yake Abdu Kiba(Kiba Square, alipoulizwa sababu za ukimya wake ally kiba alifunguka kuwa moja wapo ni kumpa nafasi mdogo wake afanye muziki zaidi, lakini sababu nyingine ya Ally Kiba kupotea ni kuwa management aliyokuwa nayo mwanzo ilimuharibia kazi zake.

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atatufa management ya kusimamia ‘Matunzo Zero Unity’ pamoja na yeye

Young Killer Msodoki amesema anatafuta management itayokuwa inasimamia muziki wake pamoja na crew yake ya Matunzo Zero Unity. Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa, yeye pamoja na crew yake wameshindwa kufanya vitu vizuri kutokana na kukosa management. “Tulikuwa tunataka kutoa ngoma ya Matuzo Zero Unity, lakini kwa bahati mbaya tumeshindwa kufanya hivyo kutoka na uchaguzi ila […]

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUJITUMA NA KUFANYA KAZI KWA KWA MAENDELEO YAO

Ndugu Elly David Akitoa Mada Kuhusu Vijana kujituma na kufanya kazi kwa Bidii Kwa maendeleo ya taifa.Mtoa Mada huyo amesema kutokana na Ukosefu wa ajira hususani kwa vijana ni vyeme vijana kujituma na kuwa wabunifu na waweze kujiajiri kwa lengo la Kupambana katika Maisha.Katika Kongamano hilo la Vijana lililofanyika Jijini dar es salaam Liliwapa Fursa vijana kueleza Changamoto zinazowakabili na namna ya Kuzikabili.Kongamano hilo lililoandaliwa na Elly David mara baada ya ya kuona changamoto...

 

10 years ago

Habarileo

‘Tukatae umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii’

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Dk Mary Nagu amewataka wananchi kuukataa umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii ili kujenga taifa lenye watu wenye nguvu na uwezo wa kulitumikia.

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI

Kamanda wa Polisi  Kanda Maalum ya Dar es salaam,Kamishna Suleiman Kova (wa nne kutoka kushoto) amewataka askari wote  wa Kanda hiyo  kufanya kazi kwa weledi, kuzingatia haki za binadamu, na kufuata maadili ya  kazi katika utendaji wao wa kila siku.
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari

Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani